Recent content by spika

  1. spika

    Watanzania wana uelewa mdogo kuhusu Pension Fund, 25% ni maamuzi sahihi

    Mtoa mada: Wastani wa umri wa kuishi wa mtanzania (life expectancy) ni miaka 65.68 (2016). Kwa mfano Daktari anayepaswa kustaafu na miaka 65 unataraji ataishi miaka mingapi ili aweze kufaidi hayo mafao ya mwezi?
  2. spika

    Mkurugenzi SSRA akanusha madai ya kupunguzwa mafao ya watumishi: Pensheni hailipwi kwa miaka 12.5 tu bali kwa muda wote wa uhai wa wastaafu

    Hili la kuonaisha kiwango cha michango na mafao yanayotolewa kwa mwaka bila kutizama hazina iliyopo kwenye mifuko siyo sahihi. Na kama michango ya wanachama imetumika kuwekeza kwenye miradi ya majengo au hata viwanda hawastahili kufaidika? Sijaelewa hapo kwenye kuleta uwiano, kwani watumishi...
  3. spika

    DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Pamoja na kuharakisha mradi wa upanuzi wa huduma za maji katika maeneo ya GOBa, tunaomba menejimenti iutupie macho uratibu wa mgao wa maji kupitia viosk na nyumba chache zilizounganishwa. inaonekana kuna kamchezo.
  4. spika

    SUMATRA; Njia ya daladala ya Mbezi Mwisho - Makumbusho itatuumiza

    Waanzishe tu ruti inayoanzia goba. wakazi wa goba tunaishia kusimama na hayo mabasi ya mbezi kwenda makumbusho na kawe.
  5. spika

    SUMATRA kazi imewashinda kusimamia usafiri Goba Dar es Salaam

    Nasikia wameanzisha ruti mpya za Madale Posta na Madale-Gerezani kupitia Goba. Wasichoelewa SUMATRA ni kwamba hizi ruti abiria wengi wanaketi mwanzo hadi mwisho wa safari. Sisi wa njiani hususan goba tunakuwa wa kusimama na kukanyagana. ANZISHENI RUTI ZINAZOANZIA GOBA TAFADHALI. NA SISI TUNA...
  6. spika

    Tafrani Kimara: Msongamano kituo cha Mwendo kasi - Abiria wakiwemo wanafunzi wazimia!

    Huu mradi utazamwe upya na serikali yetu. Bado kuna changamoto nyingi za kimfumo na miundombinu; Kuna haja ya kuongeza idadi au mpishano wa mabasi katika ruti zake ili kupunguza msongamano wa abiria ndani ya mabasi na hivyo kupunguza maambukizi ya magonjwa ya hewa na wizi wa mifukoni...
  7. spika

    Barick wameufyata; Hakuna press ya gawio la hisa, report ya fedha, soko la mitaji au maongezi na Tanzania

    Mkuu sote tunataka neema kwa nchi yetu ila ni busara kukaa kimya kwa sasa. Pande zote mbili zipo kimya wakati mazungumzo yakiendelea. Maana hata watawala wetu ni hodari mno wa kuvuna ujiko wa kisiasa kwenye kila jambo!
  8. spika

    Uhamiaji yawataka waliostaafu kurejesha hati za kusafiri zenye hadhi ya Kidiplomasia na Kiutumishi

    (Under section 10(3)) Persons Entitled to Diplomatic Passports (a) President of the United Republic of Tanzania, (b) Vice President (c) President of Zanzibar. (d) Prime Minister. (e) Chief Minister. (f)Minister and Deputy Minister. (g)Speaker of the National Assembly or the House of...
  9. spika

    Magufuli, wewe ni Rais wa Tanzania sio Kanda ya Ziwa tu

    Hata Chato alienda mapumziko tu sio kiofisi
  10. spika

    Magufuli wewe ni mzazi unayejitambua

    Dah, wikendi ndio inaisha hajateua wala kutengua uteuzi!
  11. spika

    Dhana na Miongozo ya "Katika Utawala Wangu..."

    Shida inaanzia kwenye fikra kwamba unapochaguliwa kuongoza nchi unakuwa juu ya katiba na utawala wa sheria.
  12. spika

    Mh. Rais, Wabunge wa CCM Wanakuponza!

    Ngoja wampitishie bajeti aliyoiwasilisha kwao halafu ikifika septemba akumbuke kwamba bado Rwanda wanatuzidi kwa idadi ya ndege, au kasi ya kuhamia Dodoma ni ndogo..ndio utaelewa ni upande gani unapaswa kushauriwa.
  13. spika

    Hongereni CCM, katika hili mmeonyesha ukomavu wa kisiasa

    Lakini hiyo hoja ya kumpongeza rais bungeni imebebwa kwa kiasi kikubwa na wabunge wa CCM. Na jemedari wa vita hii ya ukombozi wa kiuchumi ndio mwenye kiti wa CCM. Mkuu labda ufunguke zaidi unaizungumzia CCM ipi haswa?
  14. spika

    Watanzania tunasubiri Mkapa na Kikwete watoe kauli kuhusu Makinikia!!

    Mwenyekiti alimaanisha aliposema wapumzike. Na ndio maana amewawekea mazingira halisi ya kupumzika katika medani za siasa nchini. Naamini umenielewa!
Back
Top Bottom