Hawa nao kama wanapromot tu.
Ni aibu hata kukaribisha shoga na kumpa airtime.
Making it sound like its ok. Its fine.
Huko ulaya weshaanza kujitoleza na kuwa sympathized.
The Devil is very tricky.
Then I heard another voice from heaven say: "'Come out of her, my people,' so that you will not share in her sins, so that you will not receive any of her plagues
revelation 18.4
Ndugu, do an extensive research about hii comment ya papa. Its more than what u think. dhambi inapakwa pakwa asali ionekane kama sio dhambi tena.
ushoga ni dhambi, hata uipake Lotion ni dhambi tu
Watasamehewa wakiachana na ushoga.
Mungu aliangamiza mji wa sodoma kumbuka sababu ya ushoga. Mungu ni yuleyule na habadiliki.
huwezi tubu then unaenda kufanya mapenzi na mwanaume mwenzio then utegemee kuona mbingu.
ni mbinu za kishetani kuupotosha ulimwengu
Bustanini Edeni Mungu aliumba taasisi mbili.
1.Sabato
2. Ndoa
Sasa ni mpango wa shetani kuharibu taasisi hizo mbili kwa nguvu zake zote
Kwa kuruhusu ushoga basi atakua ameweza kuharibu (kubadili kile Mungu alichotengeneza ie ndoa ya me na ke)
Baada ya hapo ataleta sabato ya uongo ambapo nchi...
Wadau heshima mbele,
Kuna jamaa aliniuzia gari. juzi nimesimamishwa na trafiki na baada ya kuicheki kwenye system inaonekana inadaiwa takribani laki na themanini coz jamaa alikua anaendesha bila bima so kuna malimbikizo ya mabao mpaka kufikia TZS 180,000. Wazee wakazuia gari mpaka ilipwe ila...
ndala zinawakilisha ndomu, yaani uvae ndondom wakati unajegejana, Sabuni ni kwamba uoge kuondoa janaba wife asistuke na bible kua fanya hivo lakini kumbuka malaika wanakuona
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.