Katika kifurushi cha Kaskazini Offer kuna chaguo la dk 150 voda-voda, dk 15 mitandao yote na mb 1024 kwa siku tatu, kwa shs 1,500/=. Leo ni mara ya tatu nanunua kifurushi hiki lakini ukiangalia salio baada ya muda mfupi tu unaambiwa una dk 0 mitandao yote ambapo nakuwa bado sijapiga simu yoyote...
Rejea post #1202, nimeona kahitimisha mada ya msingi, ila aliahidi kwenda kufuatilia rejea za MS, kisha arudi jamvini kuanika vyanzo vya "urongo" vya mzee MS. Ila niliyoandika ni mawazo yangu tu, yeyote yuko huru kuweka mawazo yake.
Wanajamvi, nimekuwa nafuatilia mada hii, na nimeshawishika kutoa "MAONI YANGU" baada ya mtoa mada Pascal Mayalla kuhitimisha mada yake katika post #1202, licha ya mjadala kuonesha kuendelea bado.
Nimekumbuka zama zile tukisoma vitabu vya fasihi, The Great Pond, The River Between, Is it...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.