Recent content by Speed5G

  1. S

    Ujinga wa Kanda "Z" ni matokeo yasiyohimilika

    Sjajua kabsa kilichomaanishwa boss
  2. S

    Zaidi ya watu 80 wafa wakikanyagana kugombea msaada wa Eid nchini Yemen

    Jamn samahani kuuliza kwamba si hiku ndiko kwenye utajiri mwingi wa mafuta na mali nyinginezo nyingi sasa inakuwaje hapo tena?
  3. S

    Kuna Siri gani katika kufanya mapenzi?

    Amina kwakweli ndiovyo kabisa wala hujakosea loloye mungu akubariki sana mwana wake kwa ujumbe mwema
  4. S

    Mwanamke mnyenyekevu ndiye chaguo bora kwa mwanaume yoyote

    I am sorry aunt najuwa umelizungumza hilo jmkwa machungu makubwa sana ila nakukumbusha kwamba pennye nia pananjia mamaangu jaribi zaidi mungu atakufunulia we mtegemee2 yeye pole pia GOD BLESS 👏👏👏👏👏
  5. S

    Mnaonunua malaya wa Telegram mna moyo

    Nipende kuwakumbisha kwamba hata kama ungejiuza/kuganga kwa kiwango gani na ukafanya maendeleo kiasi gani lakini nipende kuwakumbusha wadada na wamama na vijibibi vinavyofaganya hii kazi haina mibaraka kwa mwenyezi muumba wenu na mungu wenu alie mbinguni maan ni laana tupu. Ushauri wangu kwa...
  6. S

    Fahamu matumizi ya kipande cha mkaa wakati wa kulala ili upate usingizi mzuri

    Jamn hata skua najuwa kama madawa jinayo mwenyewe humu ndani 😃😃😃😃
  7. S

    SoC02 Wanaangamia kwa kukosa maarifa

    Jamani kwakweli yakifuatwa haya niliyoyasoma hapa da! Tutakuwa wa kuigwa na mataifa meng kama sio yote kakaake congratulation👏👏👏👏👏👏
  8. S

    EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

    Brooo nikwamba majizoo hana kosa wala maana nikweli kajisemea binafsi yake
  9. S

    EFM yatangaza kumchukulia hatua Hando, yadai maoni yake kuhusu Serikali kukopa si msimamo wa taasisi

    Mi mbona sioni kosa lake jmni mbona ivo hii tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
  10. S

    Waturuki wamekuja na mabalaa yao

    Yaani we acha kabisa hii jinsia ni tabu🤣🤣🤣🥰
  11. S

    Waturuki wamekuja na mabalaa yao

    Kaka wanawake ukitaka kuwasemea huwa hawajali watakwambia wanaangalia noti we mh. Utakauka koo na hamnapo juice ndani 😂😂😂
Back
Top Bottom