Recent content by speech

  1. speech

    Mtandao wa X zamani twitter watoweka hewani - Februari 16, 2026

    aiseeee kwel bana, imefanya simu mpka kuzima na kuwasha
  2. speech

    Tujifunze Kutoka Libya

    hii ya kuingiziwa gawio (ela bure ) ni story zavijiweni..
  3. speech

    Balozi Polepole & MC Pilipili wamepotezwa kama 'Kuku wa Kienyeji'

    madaraka haya dumu, kipindi magufuri yupo, alitamba sana na kejeli kwa upinzani.. mfumo huu aliukubali na yeye na kuunga mkono, leo umekuwa mbaya kwake. Hii iwe ni alarm kwa watawala wote, katiba mpya ni muhimu kuliko madaraka ya mda mfupi..
  4. speech

    PostGE2025 Kwanini Mwigulu anakomalia "waandamanaji walikuwa na silaha"? Je, anabumba maneno hayo ili kutoa mwanya wa mauaji ya raia mpaka majumbani?

    hapa analichafua jeshi la wananchi , inawezekanaje wapite mipakani bila kushikwa na imekuaje wameshindwa kumkamata hata mmoja, kesi za uhaini karivu wote ni watanzania ..
  5. speech

    CCM nadhani sasa ile hoja yenu ya CHAMA KWANZA TAIFA BAADAYE mnaiona inavyowatafuna, msilalamike chini chini maana mliaminishana mnaikomoa CHADEMA

    mpka sasa pikipiki za mama samia hazipo kabsa mtaani, hata wao wenyewe hawazitakii
  6. speech

    Raia wa Kiislamu waandamana London wakidai kulinda jamii yao dhidi ya harakati za chama cha UKIP

    wwtavuna wanachopanda.... hivyo hicyo kwa ufaransa na u german.. baada ya miaka 15 mbele utaanza kusikia machafuko na waislam kudai haki zao
  7. speech

    Hivi TV nchi 32 kushuka chini nayo ni ya kununulia Tv guard

    vilevile tv aipokei direct 240v bali inabdirisha nayrnyewe kwenda DC nazan mpka 12V (most ) ndio maana hata umeme uwe mdogo vipi, tv itawaka.. so na wewe kajifunze zaidi...🤣🤣🤣
  8. speech

    Pombe: Sumu inayoua zaidi kuliko vita na gonjwa lolote, lakini tunaiita burudani

    ni kujipa moyo tu wanywaji wa pombe... soda athari yake ni sukari mwilini na sio kingine.. ila pombe ina madhara mengi.. imagine ukiwa unakunywa dawa usije ukanywa pombe.. kwanini wadikwambie usinywe soda
  9. speech

    Mekanika kaniwekea Diesel Engine Oil kwenye gari langu la Engine ya Petrol. Je kuna madhara!?

    utafanya engine ipasuke... coz ya compression force... compression force ya diesel ni kubwa sana, ndio maana haitaji spark , ila compression ya petrol ni kawaida ... so kufanya hvyo utaua engine
  10. speech

    Natafuta mwanaume wa kunioa

    mke wa 2 hutqki dada😂😂
  11. speech

    Kwa Mazuri Makubwa Aliyoyafanya, Muda Muafaka Ukiwadia, Je Tumpe ile Asante Yake ile Stahiki?, Yaani Apewe tuu?, na Kama ni Maua, Apewe Tuu Maua Yake!

    pascal , umetuambia mazuri mengi ya mama, sasa ebu tuambie kipi unaona ameshindwa kwenye utawala wake, kwa maana kila kizuri lazima kiwe na mabaya..
  12. speech

    Tumeshindwa kutengeneza Hata Cherehani?

    kama proffesor anakuwa chawa, unazani tunaweza tengeneza hata stick
  13. speech

    Heri tukose misaada kuliko kuamrishwa nini cha kufanya na Ulaya

    ni kwel kutegemea misaada ni kitu kibaya.. ila kwa nchi zetu za ki africa ,cnazani inaweza chukua miaka 1000 mbele kuanza kujitegemea wenyeww... imagine, wabunge ambao wanatunga sheria za kodi, wao wenyewe hawazitaki.. mfano wabunge hawalipi kodi, wala nssf...
  14. speech

    No reform no election imejikita zaidi kuwinda uongozi sio kutatua kero za Wananchi Ni hoja ya viongozi sio wananchi

    kazi ya kutatua kero za wananchi ni kazi ya serikali sio chama cha kisiasa... mazara ya kukataa shule hayaaa...
Back
Top Bottom