Recent content by Spectophotometer

  1. Spectophotometer

    PostGE2025 CHADEMA yatangaza kutoitambua Serikali ya Tanzania

    Chama Cha Vichekesho.. hawaitambui serikali lakini wametoa tamko la kuitaka serikali kulipa fidia ndugu za waliouwawa tarehe 29 Oktoba.Haya ni maajabu
  2. Spectophotometer

    PostGE2025 Aliyekuwa amepewa kesi ya uhaini adai walitumika kubeba miili ya waliouawa kwenda kuwazika Makaburi ya Kondo

    Kumbe Jamiiforums siku hizi hadi VILAZA wapo. Ile JF ya great thinkers haipo tena.
  3. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani kwanza, haki baadae ni Msingi wa dini mpya ya wasiojulikana?

    Sasa tumfuate YESU au PhD?? 🤣 MSIKIE YESU 👇 Yohana 20:21 “Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.” AMANI KWANZA 👇 Luka 10:5 “Na nyumba yoyote mtakayoingia, semeni kwanza, Amani iwe nyumbani humu.” 1 Wafalme 5:4 “Ila leo Bwana...
  4. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    KIPINDI CHA UKOLONI HAKUKUWA NA HAKI, ILA AMANI ILIKUWEPO NA BABA ZETU WALISHI NA HAWAKUDHURIKA. Sasa tumfuate YESU au PhD?? MSIKIE YESU 👇 Yohana 20:21 “Basi Yesu akawaambia tena, Amani iwe kwenu; kama Baba alivyonituma mimi, mimi nami nawapeleka ninyi.” AMANI KWANZA 👇 Luka 10:5 “Na nyumba...
  5. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Chamsingi tusipoteze Amani kwa ajili ya kuitafuta Haki.
  6. Spectophotometer

    Tujikumbushe waraka wa TEC,CCT na PCPT mwaka 2015

    Angekuwa Muislamu wangesema ni Ugaidi. Lakini kwakuwa ni wao wameyapa jina la Maandamano. Ugaidi hauna dini wala kabila. Huu ni UGAIDI kama AL-QAEDA
  7. Spectophotometer

    Tujikumbushe waraka wa TEC,CCT na PCPT mwaka 2015

    Secular state kwenye jambo la watu wengine siyo? Vipi kuhusu Mikataba ya Serikali na Kanisa Katoliki kuwapatia mabilioni kila mwaka?
  8. Spectophotometer

    Tujikumbushe waraka wa TEC,CCT na PCPT mwaka 2015

    TUJIKUMBUSHE WARAKA WA TEC CCT NA PCPT MWAKA 2015
  9. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Ni wapi nimesema SITAKI HAKI? Kulingania Amani haimaanishi Hatuitaki Haki. Tuitunze Amani kisha tuzidai haki zetu bila kusababisha madhara kwa RAIA,Mali na miundombinu yetu.
  10. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Amani ya nchi ni: *Kukosekana kwa vita, machafuko au fujo. *Usalama wa raia na mali zao. *Kuheshimu sheria, haki na mipaka. *Wananchi kuishi kwa umoja bila ubaguzi na chuki. *Serikali kufanya kazi zake kwa uadilifu na wananchi kutii taratibu. Kwa nini ni muhimu? ✓Huwezesha elimu, biashara na...
  11. Spectophotometer

    Mange anadai tar 29/10 askari na wanajeshi wengi walikufa

    Anaanza kuwapanga tena. Wajinga watamuamini
  12. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Kusema Amani itangulie haimaanishi Serikali haina makosa. Ni haki yetu kudai haki zetu kama RAIA bila vurugu,kumwaga damu.Tatizo lenu mnadhani wanaohubiri Amani wamerambishwa Asali.
  13. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    Ni kweli matatizo ya Utekaji,uonevu yalianza 2021? Au kuna agenda nyingine kwa jina la kudai Haki?
  14. Spectophotometer

    PostGE2025 Amani ndio haki mama ya kila raia

    https://www.facebook.com/reel/2119928131875968/
Back
Top Bottom