Duh? Mimi siamini kampuni za kibongo hata kidogo,hadi leo walioweka Pesa zao DECI zimepotea hawajalipwa,vp kuhusu hii Rifaro Africa? Hapana hii ni DECI nyingine.
ID yako ina clarify kiasi gani huna akili ya kutafakari,anayetaka kujua alipo mkuu wa majeshi siyo Ben sanane peke yake kisa umeona ameandika uzi,ni zaidi ya watanzania milioni 20 wenye weledi wanataka kujua alipo mkuu wao wa majeshi,unapomwambia mleta uzi aende jeshini kuulizia pia waambie...
Mjinga na mpumbavu mkubwa wewe,nyie ccm mmetukana mara ngapi tena live na siyo mtandaoni? Sadifa kamtukana rais wetu Lowassa na hajakamatwa,ngoja tuingie ikulu na hiyo sheria kandamizi tuifute.
Ama kweli jamani tembea uone! Ndo nimejionea sasa mwenyewe,Wanajamvi leo ni siku ya 5 tangu nimefika hapa katika taifa hili la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, nipo katika jimbo la katanga usiku huu tunatoka katika mihangaiko katika msitu uliopo kijiji cha mukanga moke, tumefika hapa tumekutana...
Hakuwahi kumsema vibaya Rais wetu Lowassa,Mungu amrehemu Kigoda! Huu mwaka ni noma,Celina kombani,Mtikila,kapteni komba,kigoda...Loading.....................!
Unamkubali kwa lipi?Badala ya kumuonea huruma unamkubali kwa ujinga wake mkuu,siku wakiamua kumpiga utamuonea huruma,kwa taarifa yako marekani inajiandaa na vita kuu ya 3 ya dunia,that's why wamerudisha uhusiano na Cuba haraka kwa hofu kuwa siku kikiwaka Cuba isije kutumika kama main portal ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.