Recent content by Sparks

  1. S

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Waislam sio wajinga kiasi hicho, kama mliwadanganya na kuwaonea basi ni wale SIO hawa na watakaokuja. Endeleeni kutoa sababu zenu mnazoamini ni za kweli na mchangiane 100% kwa kuziunga ILA sisi tunazijua za kwetu na hatuna haja sana ya kuchangia kwenye hili jamvi lenu la UCDM+Mfumo Kristo. Haki...
  2. S

    CHADEMA waweka bayana msimamo wao juu ya yaliyowasibu ma-Sheikh Ponda na Farid

    Teh teh teheeee...! Kwa waliokua HAWAAAMINI Cdm ni ya mfumo kristo leo hii wamejua! Kisa ni Waislam, wapo tayari kupinga ishu yoyote yenye muelekeo wa kusema ukweli wa waislam. Na bado tutaona mengi sana kuhusu mfumo kristo. Leo hii wana-CDM wanawapinga viongozi wao!
  3. S

    CHADEMA: Watanzania puuzeni propaganda za udini...

    Go to hell CDM na UKRISTO WENU+UCHAGA
  4. S

    CHADEMA: Watanzania puuzeni propaganda za udini...

    Nilivutiwa na kujikuta naahidi moyoni kuipigia Chadema 2015. Baada ya kujiunga na JF muda si mrefu nilihuzunika saana na kuona kuwa kumbe nimekosea. CDM sio ya WAISLAM, tunadharauliwa sana hata kwa yale ya msingi HATUUNGWI mkono kwa vile sisi ni Waislam. Kiukweli baada ya KUUJUA ukweli...
  5. S

    Zitto tena kachafua hali ya hewa bungeni

    Acheni kumkashifu Zitto eti sababu hatokei kaskazini kwenu, chadema ni yetu sote msianze ubaguzi wenu kwa mambo yasiyo na msingi.
  6. S

    Jamani Hali ya Zanzibar na Muungano si Shwari

    Hivi kwa nini mashoga na mabasha wengi wapo Zanzibar na pwani za Mombasa, Tanga, Dar etc? Utakua unfi... tuu.
  7. S

    Sheikh Ponda amezitoa wapi hizi takwimu?

    Yeyote mwenye akili timamu aniambie kutakua na tatizo gani kukiwepo hiko kipengele cha dini??
Back
Top Bottom