Jamani Hali ya Zanzibar na Muungano si Shwari

Tatizo hawa jamaa ni wavivu wa kufikili.Kama TANGA,DAR NA MTWALA ni zanzibar basi wazanzibar(UNGUJA&PEMBA)wanaotaka kujitenga ni wachache sana kulinganisha na ZANZIBAR yote(TANGA,DAR,MTWALA,UNGUJA,NA PEMBA) hivyo hawa wachache unguja na pemba hawana haki.
 
Tatizo hawa jamaa ni wavivu wa kufikili.Kama TANGA,DAR NA MTWALA ni zanzibar basi wazanzibar(UNGUJA&PEMBA)wanaotaka kujitenga ni wachache sana kulinganisha na ZANZIBAR yote(TANGA,DAR,MTWALA,UNGUJA,NA PEMBA) hivyo hawa wachache unguja na pemba hawana haki.

Wacheni pumba na upuuzi wenu ni Kauli ipi amabyo Zanzibar inahitaji mikoa ya Dar, Tanga ,Mtwara? Mnajipendekezi namna hiyo Watanganyika???

Zanzibar = (Unguja+Pemba)+visiwa vdogovdogo vilivyozunguka Unguja na Pemba na mipaka ya bahari kuu na ndogo ilozunguka vsiwa hivo.

Hakuna Mzanzibari alotayari kuungano na majambazi, wahuni wa Dar, Tanga ,Mtwara, na etc, hiyo kitu sahauni msijipendeze kwa Wazenji mkajitia kichwakihwa Wazenji hawamutaki hata kwa bei poa au ya kutupwa.
 
Wadau nimepata taarifa kutoka Zanzibar, hali mbaya. Wazanzibari hawataki muungano kabisa, wametawanya mabango kila sehemu wakitangaza kwamba hawataki muungano.

Waarabu wa Omani ndio wanaosponsor harakati hizi ili muungano ukivunjika wajiunge na OIC harafu waarabu warudi tena.

Wanadai pia kwamba mipaka harisi ya Zanzibar inahusisha mile 40 za ukanda wa pwani ya Tanzania bara, kwahiyo muungano ukivunjika wanachukua babdari ya Mtwara, Dar na Tanga.

Nadhani itabidi muanze kuatafuta sehemu ya kujenga BOT, wazo la kuhamishia ofisi za serikali Dodoma linaweza likawa na mashiko balaa.

Zanzibar hali si shwari


Wacheni pumba na upuuzi wenu ni Kauli ipi amabyo Zanzibar inahitaji mikoa ya Dar, Tanga ,Mtwara? Mnajipendekezi namna hiyo Watanganyika???

Katiba ya Zanzibar 2010: "Zanzibar = (Unguja+Pemba)+visiwa vdogovdogo vilivyozunguka Unguja na Pemba na mipaka ya bahari kuu na ndogo ilozunguka vsiwa hivo"

Hakuna Mzanzibari alotayari kuungano na majambazi, wahuni wa Dar, Tanga ,Mtwara, na etc, hiyo kitu sahauni msijipendeze kwa Wazenji mkajitia kichwakihwa Wazenji hawamutaki hata kwa bei poa au ya kutupwa.
 
Wadau nimepata taarifa kutoka Zanzibar, hali mbaya. Wazanzibari hawataki muungano kabisa, wametawanya mabango kila sehemu wakitangaza kwamba hawataki muungano.

Waarabu wa Omani ndio wanaosponsor harakati hizi ili muungano ukivunjika wajiunge na OIC harafu waarabu warudi tena.

Wanadai pia kwamba mipaka harisi ya Zanzibar inahusisha mile 40 za ukanda wa pwani ya Tanzania bara, kwahiyo muungano ukivunjika wanachukua babdari ya Mtwara, Dar na Tanga.

Nadhani itabidi muanze kuatafuta sehemu ya kujenga BOT, wazo la kuhamishia ofisi za serikali Dodoma linaweza likawa na mashiko balaa.

Zanzibar hali si shwari

Ni lini Zanzibar kulikuwa shwari, mie sikumbuki!
 

Utaongea yote. Chukueni visiwa vyenu hakuna anayewahitaji - its very simple, pelekeni muswada Baraza lenu la Wawakilishi muuvunje muungano - mko huru. LAKINI, naruadia tena, LAKINI yodi moja wala nukta moja ya ardhi au maji ya Tanganyika hamtakaa myachukue. Hilo sahauni kama marehemu anavyosahau yote aliyokuwa nayo wakati wa uhai wake.

Hicho ndicho nimekuwa nawaambia Wazanzibari kila siku, lakini hakuna hata mmoja wao anaejibu kuhusu hilo.
 
Hahahahaha tutakazamisha kakisiwa kwa makombora

subutu
subutu huo moto wake mtauwezaaa sisi tutaanzia dar kushusha hivyo vigorofa nya bot,nssf na vidara vya mkoloni mashambuliz kutokea ndan. subutu kurusha kombora znz utazame wat next?
 
sisi sote ni ndugu lakini kama mnataka hivyo ondokeni hata sahivi na kitu chakwanza tutachofanya tutawakatia umeme halafu mtaona..
 
hata mimi mwenyewe naona wabaki huko kwao wasubiri wajukuu wa sultan said waje kuwatawala.... hamna tunachofaidi zaidi ya majungu na fitna
 
Nendeni mkatoe maoni ya katiba mkijua kuwa mnaandika katiba ya tanganyika sio TZ it is over.hakuna tena nchi inayoitwa tanzania tushaifuta tangu 2010 july .
Tunacho subiri ni kumaliza maandaliz ya taasisi kamili za dola ya znz ambayo tushaitangaza kabla. Amkeni tanganyika.
JAMUHURI YA WATU WA ZANZIBAR KWANZA.
 
sisi sote ni ndugu lakini kama mnataka hivyo ondokeni hata sahivi na kitu chakwanza tutachofanya tutawakatia umeme halafu mtaona..

mkuku tarifa zanzibar ni ya mwanzo kuwa na umeme kabla ya tanganyika kateni tu
 
Convergence of thought and spirit G55 na UAMSHO iko dugu baba moja mama moja kupigania utaifa.
 
Mbona wao wapemba wanadai nchi yao hawawapi? Watambue muungano ukivunjika pia Pemba watataka nchi yao
 
Mkuu Lawkeys unamaanisha tutakuwa Landlocked Country? Nadhani hili haliwezekani
 
Last edited by a moderator:
subutu
subutu huo moto wake mtauwezaaa sisi tutaanzia dar kushusha hivyo vigorofa nya bot,nssf na vidara vya mkoloni mashambuliz kutokea ndan. subutu kurusha kombora znz utazame wat next?

Ha ha ha ha ha! Vita ya mtandaoni!
 
Wadau nimepata taarifa kutoka Zanzibar, hali mbaya. Wazanzibari hawataki muungano kabisa, wametawanya mabango kila sehemu wakitangaza kwamba hawataki muungano.

Waarabu wa Omani ndio wanaosponsor harakati hizi ili muungano ukivunjika wajiunge na OIC harafu waarabu warudi tena.

Wanadai pia kwamba mipaka harisi ya Zanzibar inahusisha mile 40 za ukanda wa pwani ya Tanzania bara, kwahiyo muungano ukivunjika wanachukua babdari ya Mtwara, Dar na Tanga.

Nadhani itabidi muanze kuatafuta sehemu ya kujenga BOT, wazo la kuhamishia ofisi za serikali Dodoma linaweza likawa na mashiko balaa.

Zanzibar hali si shwari

Habari hi ina 95% ya uongo na unafiki na 5% tu, ni ukweli...
 
subutu
subutu huo moto wake mtauwezaaa sisi tutaanzia dar kushusha hivyo vigorofa nya bot,nssf na vidara vya mkoloni mashambuliz kutokea ndan. subutu kurusha kombora znz utazame wat next?

Mtasimama wapi wakati kisiwa kitakuwa kimeshazamishwa?.
 
Hivi kwa nini mashoga na mabasha wengi wapo Zanzibar na pwani za Mombasa, Tanga, Dar etc?


Utakua unfi... tuu.





 
Back
Top Bottom