zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
M4C kama siyo renaissance ni nini?
Washirika wao wakubwa wa nje kama siyo chama cha kidini cha siasa cha ujerumani ni nini?
Wabunge wao wanapokuwa kwenye majukwaa ya siasa (halima Mdee) na nassari (bungeni) wanapowaambia Watanzania watawafikisha nchi ya ahadi wana maana ipi kama siyo udini wa Kikristo?
Zanzibar 99% ni Wasilaam, uliona chadema wana mbunge. mwakilishi au hata sheha mmoja? wamestukiwa!
99% ya wafuasi wao ni Wakristo tena hata humu JF ni hivyo hivyo, hakuna propagada ni ukweli tu.
Siku zote wanasema wao na Mungu, Mungu wao nani? Allah au Jesus?
Washirika wao wakubwa wa nje kama siyo chama cha kidini cha siasa cha ujerumani ni nini?
Wabunge wao wanapokuwa kwenye majukwaa ya siasa (halima Mdee) na nassari (bungeni) wanapowaambia Watanzania watawafikisha nchi ya ahadi wana maana ipi kama siyo udini wa Kikristo?
Zanzibar 99% ni Wasilaam, uliona chadema wana mbunge. mwakilishi au hata sheha mmoja? wamestukiwa!
99% ya wafuasi wao ni Wakristo tena hata humu JF ni hivyo hivyo, hakuna propagada ni ukweli tu.
Siku zote wanasema wao na Mungu, Mungu wao nani? Allah au Jesus?