Habari zenu wana jamvi, natumaini mu buheri wa afya.
Naomba msaada wa kupata bei za mazao yafuatayo:
- Maize
- Soya Beans
- Sugar canes/ Sugar
- Rice
- Sorghum
- Beef, kwa kipindi cha miaka mitano (5) iliyopita, ninaandaa mradi wa kilimo lakini upatikanaji wa taarifa umekuwa changamoto sana...
Kuna vitu hata kuhoji unapoteza muda wako tu. A matter of national security unakuja kuhoji vimaswali vyako hapa. Tuwe serious jamani. Mh Rais anapo comment unahisi anajitungia tu au?! Obama promised to close Guantanamo, when he sworn in alifunga??? Wacha system ifanye yake.
Waandishi wetu ni vimeo sana mkuu, nakuhakikishia asilimia 80% ya habari tunazosoma leo tunadanganywa sana, na kwasababu hatupendi kuchunguza inakuwa tabu tupu mitandaoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.