Pole sana ndugu, mimi pia ilinitokea mwaka 2010 nikiwa safarini Lindi. Kwangu ilikuwa ni Pepsi, nasikitika sikutambua mapema. Nilipoanza kunywa sikuhisi lolote, nilipoendelea nikahisi ladha tofauti hivi nikilinganisha na ile niliyoizoea, nikalazimika kuiangalia vizuri, nikaona kama kuna kitu...