Ndugu wanaJF dakika chache zilizopita nimeenda dukani kununua soda ya STONEY TANGAWIZI, ila cha kushangaza nikiwa nakunywa ghafla nikashtuka kuona ndani ya soda kuna kizibo kimekunjwa na kinaonekana kimeshka kutu. Nikaamua kumimina soda kwenye bakuli naye pia nikaona ina rangi ya kikahawia inayoambatana na kuchafu mweusi.!! Nipo cross road wandugu juu ya afya yangu sijui hata nifanyeje!? Kuweni makini na hz soda si salama salimini.
Ndugu yangu BAMPKIN BILLIONNAIRES pole sana kwa kushikwa na jazba juu ya maelezo yangu.!
Ninachopenda kusema ni kwamba mimi hakika sijatumwa na mtu yeyote wala kampuni yoyote kuja kuharibu ama kuchafua bidhaa za watu. Ninachokisema ni UKWELI MTUPU tena imenitukea me mwenyewe hapo siku ya jana.
Kuhusu rangi ya soda ni kwamba ni kweli wakati nakunywa nikaona kuna kizibo cha soda husika kimekunjwa na kuwekwa ndani ya chupa hiyo halafu nilipokitoa nikaona kimeshika kutu then nikamimina soda ndani ya plate nikaona rangi tofauti (kahawia) na ile niliyoizoea ukiambatana na uchafu mweusi.
Pia wakati naifungua gas ilifoka kama kawaida ila cha kushangaza na radha ya hiyo soda mwanzoni ilikuwa tofauti.
Mwisho napenda kusema kwamb kwa soda hii niliyoinywa imenipelekea leo usiku kuharisha mara 3 na tumbo kuniuma ningekuwa na uwezo ningekuletea sample ya kinyesi cha uharo hapo ulipo for justification.
Nitafute 0714668690.
Those are very simple conclusions. Hebu anagalia ulichoandika jana na unayoongea leo. Jana ulisema kuwa uliona kizibo kimekunjwa na kina kutu ndipo ukaamua kumimina soda kwenye bakuli, leo unasema ulimimina na kuona kina kutu. All in all, nani alikwambia kuwa tumbo kuuma na kuharisha ni matokeo ya kunywa soda ikiwa uliamua kukaa tu nyumbani bila kwenda hospitali wala kuripoti kilichokupata?
Ahsante ndugu yangu, but sipo safarini nipo home nacheck game ya Arsenal na Liverpool still naogopa kiafya.!