Recent content by SOSTENESS J.N

  1. S

    Suruali noma kwa walembo

    Mvaa jinsi ambaye hana vinyweleo anyooshe simu yake juu na walembo ni kiluga cha kikwetu aisee na nadhani mmenielewa ila basi tu
  2. S

    Suruali noma kwa walembo

    Vinyweleo miguuni utazani gatuso why madada mnapunguza mvuto wenu kwa kudhamini vazi la suruali
  3. S

    CHUO CHA MIPANGO DODOMA ni michosho tupu

    jamani huyu mtoa mada amekurupuka na anahemea mipira chezea irdp wewe,GPA HAISOMI ANATAPA TAPA TU HAPO
  4. S

    mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

    hv google ndo mtetezi wetu watanzania etii ehee...kwani kwa kichina mnajua maana yake
  5. S

    mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

    basi na sisi wa kiume tuitwe ma hog au mnasemaje,girls mtu akikuita demu we itikia Yes My HOG OK
  6. S

    mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

    kaka kwa kifaransa mmama mwenye heshima zaje madamwasele na sio ili neno mnalolitamka madame,unajalibu kunyumbulisha tu hapo kaka
  7. S

    mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

    Binafsi naheshimu sana mawazo ya kiume. ila sasa mnajisikiaje mnapoitwa mademu na wanaume zenu
  8. S

    Mwanamme mbahili pia mchoyo

    jamaa amekopy na kupest kwangu aiseeee,nitoe pesa kwa ajili ya mbunye?.haaa wapi pesa haitoki kienyeji na wewe ni kuwadi wake nini maana mi kwa upeo wangu ningekuomba hadi ww tena hata chumba ningelipa cha elfu 2500/- za kitanzania
  9. S

    27 yrs sina hata demu

    jamani eheee,mi labda niruhusu canceling ya wazi sasa maana kuligundua tatizo langu mi siwezi ndo maana nikajitoa kimaso maso kusema ukweli.hvyo yeyote atakayeweza kunioki Sawa sawa na tatizo langu nitatoa ushirikiano wa kujibu kadri niulizavyo...karibuni wadau ila msinitukane mtanitia woga wa...
  10. S

    27 yrs sina hata demu

    kutongoza kweli kwangu ni kikwazo sanaa,kifupi napenda mitelemko na kama mdada uliyeniambia nilu pm usije ukanitosa sasa
  11. S

    27 yrs sina hata demu

    Wadau mnisaidie kimawazo mwenzenu maana hadi sasa na li umri linakwisha sina mwanamke atakayeweza kusimama mbele za watu na kujitambulisha yy kuwa na mimi ni mtu wake maana kama mzigo nabeba flesh tu ila sijajua tatizo hli chanzo ninini
  12. S

    Nina point 28 kwa ngazi ya form four

    unacheza ligi gani kwani maana inapointi nyingi sana kumzidi ata simba lazima uchikue likombe msimu huu kwani umebakiza mechi ngapi nilutabilie jembe
  13. S

    Haganeni kwa mara ya mwisho

    Wakati wa mabadiliko ya katiba za maisha ya wadau mbali mbali umewadia,wenzangu na mimi bize kukusanya nguo/pamba hata kama za kuazima ili mje mtumkomeshe vibonde,.atakayevaa nguo yake mpya siku ya kuja chuoni ongera yake sana,haya na nyie wenye mademu zenu wazuri imekula kwenu aisee mambo mambo...
  14. S

    Irdp tuuuuuu

    hzo ndoa sasa
Back
Top Bottom