SOSTENESS J.N
Member
- Feb 13, 2013
- 83
- 19
Binafsi naheshimu sana mawazo ya kiume. ila sasa mnajisikiaje mnapoitwa mademu na wanaume zenu
DEMU SI TUSI TENA KWA NCHI KADHAA ZA ULAYA NI KITANGULIZI CHA JINA LA MWANAMAMA ANAYEHESHIMIKA. Jina linatokana na neno 'DAME' au MADAME au kwa kifaransa MADMOISER. Pia ni njia ya ki ungwana ya kumuita au kumuelekeza mwanamke e.g 'This way madame, 'Dear madam' au ' Madame Rita etc.
kaka kwa kifaransa mmama mwenye heshima zaje madamwasele na sio ili neno mnalolitamka madame,unajalibu kunyumbulisha tu hapo kaka
Ila to make things more correct-kwenye kifaransa Mademoiselle ni mwanamke au binti ambaye bado hajaolewa(miss). Kwa aliyeolewa anaitwa Madame.
Kkumbe hapa wanatakiwa mabinti.
Kibongo bongo hatutafsiri hivyo!!!
Binafsi naheshimu sana mawazo ya kiume. ila sasa mnajisikiaje mnapoitwa mademu na wanaume zenu
Demu ni bwawa la kuoshea ng'ombe kwa waliosoma agriculture! Binafsi sipendi wakiume anavyomwita msichana wake hvyo!!
basi na sisi wa kiume tuitwe ma hog au mnasemaje,girls mtu akikuita demu we itikia Yes My HOG OK