mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

mabinti mnajisikiaje mnapo itwa mademu

Demu ni bwawa la kuoshea ng'ombe kwa waliosoma agriculture! Binafsi sipendi wakiume anavyomwita msichana wake hvyo!!
Hii sio DAM mkuu? Hebu crosscheck huwa inaandikwaje.
 
Hebu niwaulize nyie wanaume


Mnamaanisha nini unapomuita mpenzi wako "demu"
 
Mademu wengine huwa nawaitaga demu, lakini demu wangu simuitagi demu...
 
hv google ndo mtetezi wetu watanzania etii ehee...kwani kwa kichina mnajua maana yake
 
Back
Top Bottom