Niujinga wakiwango cha juu kufurahia pesa kwenda kwa Taifa lingine. Once unahitaji serikali yako ikupe huduma bora..au kwelindiwalewale kupinginga kilajambo
Formalar ni hii
Kama ni local hesabu siku7za free tangu siku yakuingia meri zinazo ongezeka ni cmb xsiku zilizozidi jumlisha handling ambayo ni cmb x 4.5
Jumla yake tafuta asilimia 18 ambayo nivat pesa ipo in Usd.. Not tsh
Kimsingi hamja muelewa Nnape.. Kasema katiba iwe ya wananchi isiwe ya viongozi...
Maana yake nihivi.. Viongozi wawape nafasi wananchi wa kawaida watoe mawazo yao.. Kwauhuru na haki..
Then viongozi waone mtazamo wawananchi, alafu wao waboreshe kupitia maoni ya wananchi.
Anacho kataa viongozi...
Dont say stupid perception, by the way dont force any one to part of your side while you know political is in democratic form.
Person can decide where to follow accordingly. What is good "just look how to convice person to be Part Of your side by positive policy.
Mchango wa wema kwa sasa unaweza usijulikana, lkn pia lazima muelewa kwamba kila mtu anayo haki ya kuumini siasa katika mulengo anao ona yeye ni sahii bila kupingwa.
Hili linakuja kwakuwa inchi hii ipo kidemocracy.Kwa upande wa wema kwenda Ccm, nimanufaa kwa chama kwakuwa namba imeongezeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.