Recent content by sospeteroloo

  1. S

    JamiiForums Tanzania Hiki kilaji mnakiitaje kikwenu?

    Wanaitwa Onyoso kwa Kiluo
  2. S

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga anatuhumiwa kufungua tallying centre nchini Tanzania yenye nia "ovu"

    Kuzungumza siyo kutenda. Oginga na Magufuli wana maisha yao binafsi kama binadamu. Kama jambo hilo lipo mbona balozi hajatoa tamko. Wakenya kama wanagawanyika kwa misingi ya ukabila na ukora wasitumie Tanzania kama kichaka maana sisi hatujazoea mambo machafu kama hayo
  3. S

    JamiiForums Tanzania Raila Odinga anatuhumiwa kufungua tallying centre nchini Tanzania yenye nia "ovu"

    Matitizo ya Wakenya wayamalize wenyewe. Nani asiyejua mikakati ya wakikuyu kuhodhi kila kitu na kudhalisha makabila mengine. Tanzania isiwe jalala la Wakenya kutupia takataka zao. Mkumbuke kuwa hata Moi alipotikiswa na jeshi 1982 na kundi dogo la wanajeshi wa kabila la Waluo kukimbilia Tanzania...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Gari Karatu Arusha: Coaster yaua Wanafunzi na walimu wa Lucky Vincent (karibu wote)

    Tuwaombee watoto wetu. Walikuwa katika harakati za kutafuta maarifa ya kuiendeleza Tanzania baade. Poleni wazazi, ndugu na marafiki
  5. S

    JamiiForums Tanzania Waliongonganisha vyeti hawa hapa, Cheti Kimoja majina 2 mpaka 3

    Jioneeni makuadi wa Elimu! Magufuli adumuuu
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwa hili la vyeti feki, ingekuwa CHINA, wangenyongwa toka juzi! hapa kwetu tunawatetea

    Acheni JPM afanyekazi zake. Wale watakaoguswa watachukia na kumpinga na hata kulalama na kutoa kashfa. Wale watakaomuelewa watampa hongera. Kufoji in kosa la jinai tena uwizi wa mchana. Huwezi kutumia matatizo ya mwaka 1970 kutetea uchafu wa mwaka 2010, maenddleo tunayotaka inategemea elimu na...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ezekiel Maige: Nafasi serikalini zilijaa ukabila. CRDB na TRA walijazana wachaga

    Skujua Watanzania mmeanza mambo ya Wakenya kuuluza kabila, mwisho tutachinjana
  8. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ezekiel Maige: Nafasi serikalini zilijaa ukabila. CRDB na TRA walijazana wachaga

    Kama Wachaga walikuwa wanapeleka maendeleo kwao kwa fedha za serikali. Wabunge walishindwa nini kuhoji hali hiyo? Kazi ya mbunge ni kusimamia na kupeleka maendeleo kwao kama mtu alishindwa aacha kuwalaumu Wachaga
  9. S

    JamiiForums Tanzania Mbunge Ezekiel Maige: Nafasi serikalini zilijaa ukabila. CRDB na TRA walijazana wachaga

    Mijadala kama hii inagusa makabila yana athari zake. Wachaga ni Watanzania wana haki kuitumikia nchi bora wana sifa za elimu. Mbunge kama Maige tena mtu aliyewahi kuwa Waziri anapozusha lugha ya aina hizi maana analeta mgawanyiko na anapandikiza sumu inayoweza kuua hata ndugu yake. Nawashauri...
  10. S

    JamiiForums Tanzania Prof.Euphrase Kezilahabi Mmh!

    Mtunzi wa vitabu mahiri kama Dunia Uwanja wa Fujo, Gamba la Nyoka, Rose Mistika nk. Kezilahabi yuko wapi?
  11. S

    JamiiForums Tanzania Hii dharau ya Dkt. Norman Sigala haivumiliki akiweza aitafakari upya na aombe radhi kwa kupitiwa

    Kama una bifu na Dr. Norman Sigala mmalizane wala usiwahusushe wengine kwenye vita vyenu kwenye mitandao ya kijamii huo ni uhalifu. Kwanza jina lako haijulikani na hujui siasa. Hata hao mawaziri aliowateua JPM siyo wote wanampenda. Mwache Sigala azungumze
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nimekubali kwamba Magufuli kapanyoosha Bandarini DSM

    Wapiga dili siyo wachaga peke yao. Kipande naye ni mchaga? Tumieni lugha ya kidiplomasia na kutoudhi makabila mengine
  13. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Waarabu wanauana sana wao kwa wao?

    Miaka na miaka ni vita tu wao amani wataiona lini? Libya walikuwa na ustawi leo kula yao shida tupu. Watu wazima na akili wanashindwaje kupima jema na baya hadi wachonganichwe. Waarabu wana laana na ujuaji.
  14. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli: Nasubiri ripoti ya wafanyakazi waliofoji vyeti

    Waliofoji vyeti ni wengi na bado wanaendelea na utumishi kama kawaida. Wengi bado wako TRA, Idara ya Ualimu, Idara ya Mifugo
  15. S

    JamiiForums Tanzania Mbowe na wewe ni TISS au?

    Mbowe anaangalia tumbo lake na siyo matatizo ya wengine
Back
Top Bottom