I second you.
Dada asijeingia mtegoni.
Kama yuko serious huyo mwamba, jamaaa apeleke mahari na aoe. Otherwise atakujamia kwa mara ya pili atakubwaga tena.
Kama alikuacha mwanzo "SAHIZI UMEONGEZEKA NINI CHA TOFAUTI SANA? ACHILIA KAZI YAKO" wewe si yule yule akikuvua nguo?
fikiri sana dada...
Kuna nafasi Moja ya kazi mfuko wa Self me. Interview watu 590 daaah!!![emoji119][emoji119][emoji119][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] week ijayo nadhani
Labda tuendelee kusubiri tu mkuu.
Me nasubiria zile za Global Fund. Naona kimya kila siku napita kwenye website yao.
Hivi na Wale manes walioambiwa waombe waende uarabuni... nao bado?
Duuuh!! Hizi sikuziona Mkuu...
Au ndo zitakuwa zike za ajira ya Moja Kwa amoja Serikalini.
Kwani wao pia hawajaitwa hata mmoja??? Wale nadhani wanafanyia Tu placement ya kituo cha kazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.