sosi maiko
Member
- Sep 19, 2023
- 37
- 27
Waliitwa kupitia wizara ya afyaMwezi wa 12 mwaka jana wizara ya Afya ilitangaza nafasi mbali mbali za kada ya Afya Kupitia Mfumo wa Global Fund.
Wengi wetu naamini tuliomba. Lakini toka tarehe 18/12 hadi leo, hakuna Majibu yoyote, wala hatujaona PDF mtandaoni iliyoonesha watu wameitwa Usaili.
Habari za chini chini nasikia, watu washaitwa tayari kwenye interview.....
Mfano kwenye kada hapa chini wanaongelea nafasi mojawapo zile za M&E.
Kwani hizi taasisi siku hizi zikiajiri ni kimya kimya???View attachment 2889761
Pole sana mkuu, unaonekana hauko updated.Mwezi wa 12 mwaka jana wizara ya Afya ilitangaza nafasi mbali mbali za kada ya Afya Kupitia Mfumo wa Global Fund.
Wengi wetu naamini tuliomba. Lakini toka tarehe 18/12 hadi leo, hakuna Majibu yoyote, wala hatujaona PDF mtandaoni iliyoonesha watu wameitwa Usaili.
Habari za chini chini nasikia, watu washaitwa tayari kwenye interview.....
Mfano kwenye kada hapa chini wanaongelea nafasi mojawapo zile za M&E.
Kwani hizi taasisi siku hizi zikiajiri ni kimya kimya???View attachment 2889761