Recent content by sos x

  1. S

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Barka Seif ajiunga na Academy ya Barcelona (La Masia)

    😀😀😀😀
  2. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya misukosuko ya mwaka 2025 hatimae taratibu tuna anza kurejea na kuungana kupitia jukwaa letu pendwa JF

    Swali zuri ndg, maana yake tumepitia kipindi kigumu kidogo kwenye jukwaa, ililazimu watu watumie vpn ili kuvonjari hapa, na hii ilipekea watu wengi kukaa kando. Lakin leo ci unaona ndugu mambo yako vizuri, Au nasema uongo ndugu zangu😀🤝
  3. S

    JamiiForums Tanzania Baada ya misukosuko ya mwaka 2025 hatimae taratibu tuna anza kurejea na kuungana kupitia jukwaa letu pendwa JF

    Habari zenu wanajukwaa,!? Baada ya misukosuko ya mwaka 2025 hatimae taratibu tuna anza kurejea na kuungana kupitia jukwaa letu pendwa JF, ambapo wengi wetu hujifunza na kuburudika. Nimefurahi pia kuona baadhi ya member wakongwe wapo active, japo britanicca na akina Membe Sk sijawaona...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje Mtu anatapeli anaiba,anadhulumu lakini anaendelea kudunda tu?

    toa mfano, la sivyo vijana watakwambia unaota amka utakojoa kitandan
  5. S

    JamiiForums Tanzania GE2025 Unajua nini kuhusu Dr. Emmanuel John Nchimbi?

    Mhhhh, mmhiiii
  6. S

    JamiiForums Tanzania Ukikataliwa Pm, hasira usilete Jukwaani

    Unatumia indirect tactics kutafuta wanaume verified, kwasabb kuu 2 , kwanza uhakika wa usalama wako pindi mtakapokutana, pili unahisi verified wana mkwanja mrefu, mods ebu mtoeni huyu anashughulisha watu. Aende sinza.
Back
Top Bottom