Mrejesho wakuu
Baada ya kutafakari kwa kina hali ninayopitia na kujumlisha maoni na ushauri wa wengi,niliamua kuzingatia baadhi ya maoni na ushauri huo. Japo binafsi nilitamani kuona ndoa ynagu inaendelea lkn si kuilazimisha kubaki
Maamuzi yangu sasa ni kwamba nimeamua kuondoka na kumuacha mke...
Wakuu maoni ni mengi yakiambatana na ushauri mwingi tu wenye busara na wakiutu uzima na kujenga pia wazee wa kejeli dharau ushauri wenu nimeupokea bila kusahau wako waliousoma vzuri ujumbe wangu wako waliosoma juu juu na ndio maana maoni na ushauri haikuwa ajabu kupishana ila yote kwa yote...
Nilimuahidi kubadilika kwenye hili kwa ahadi kuwa km itajirudia basi ntampa talaka yake lkn hili halijawahi kujirudia na niko upande wake ila hili limekuja ghafla
Uko sahihi mkuu na sababu inayonifanya nakuwa na ugumu kwenye kuamua pmj na kuwa mimi ndio tatizo ni aina ya mwanamke niliyenaye hakika ni mtu sahihi sijawahi kunusa usaliti kwake wa mapenzi yake kwangu hayajawahi kuwa na kipimo kubwa zaidi ana khofu ya Mungu
Shida hasa ilikuwa pombe kiasi sikuwa nazingatia familia na hapo alikuwa mkoa mwingine kikazi hii ilileta shida kiasi hta nikashindwa kuheshimu amana zake sababu kunq wakati alipata eneo shamba nimnunulie na alinitumia milioni moja lkn sikuitimiza hii ahadi na ulitokea mzozo wa kudai talaka pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.