Nimefikiri sana..kwa nini huyu El anachukiwa sana na watz fulani yani nimeishia kupata wazimu..NAJIULI ZA JE,
-Kipi nafuu, kuongozwa na maskin limbukeni au tajiri mwerevu?!
-Ni siri gani amebeba huyu Edo,kiasi cha kina MKAPA kupanic na kuropoka ovyo kwa woga na hofu?!
-Je, Lowassa ni mkimbizi au...