Recent content by sonny_benson

  1. S

    Peniela (Story ya kijasusi)

    Maisha yana siri nzito sana, kiubinadam watu wng tunakutana na mambo ambayo yanabadilisha mtazamo na namna tunavochukulia vitu, ukiangalia toka mwanzo Hadi mwisho unaweza kugundua hili, nadhan kitu kikubwa ni kuangalia ni matari wa namna gani unatakiwa kuuchora ktk maisha yako. Ni vema kuchora...
  2. S

    Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

    Umewaza mbali sana Sent from my iPhone using JamiiForums
  3. S

    Kagasheki awaasa kiaina Watanzania kuhusu kauli ya ukomo wa Urais kwa kutumia mfano Paul Kagame 2012

    Ndo maana unajiita binti kiziwi Sent from my iPhone using JamiiForums
  4. S

    mwanga ktk maisha.

    Mimi ni kijana mdogo ktk harakati za maisha hapa na pale huwa nafikiria kufanya kitu tofauti ktk maisha angu lakin sipati mwanga ....nsaidien wana jf tafadhal.
  5. S

    Hodi jukwaani

    Miss chagga nsaidie naihitaj kujua jinsi ya kupost hapa ndan nna vitu ving nahitaj kuvijua nahs jf kwa njia moja au nyngne itaweza kunfumbua macho.
  6. S

    Riwaya: Tutarudi na roho zetu?

    Hii riwaya nzuri sana .
  7. S

    Inaonyesha kuna Mengi sana nyuma ya ACT-Wazalendo

    Naamin wewe huna akili.
  8. S

    Rich Mavoko: Sijajichubua, ninang'aa tu

    Kuna tofauti ya editing bhana usitutie utaahira we unajichubua na inaonekana wazi.....unadhan sisi hatujui editing za iphone?
  9. S

    Moses Machali amtaka Zitto kuwa na nidhamu

    Mtu mwenye akili timamu hawez kuendekeza utawala wa ccm...wape nafas watu wengne mtaona mabadiliko..mi si mwanasiasa ni mtazamo tu.
  10. S

    Tafadhali usipite bila kusoma hapa!

    Nakuombea apatikane wa kukuajili...we in the same age but i couldnt think of this method..be blessed brother.
Back
Top Bottom