Kuna watu hawajawahi kufika hata bandarini na kujionea Rushwa inavyopigwa pale, tunahitaji mwekezaji ili kutengeneza mapato yatakayo leta faida kwa watanzania wote, wapo watanzania wenzetu pale TPA lkn wanakunyanyasa utafikir wewe sio binadamu, wamejenga majumba ya kifahari kwa pesa za Rushwa ya...