songo mwene
Member
- Jan 12, 2014
- 90
- 97
Hivi ni nini majukumu ya Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa ya kila siku?
Inashangaza kuona kila anapopita Mheshimiwa Waziri mkuu au Mheshimiwa Rais kubaini ubadhirifu wa fedha za serikali na kuagizwa Taasisi hiyo kufanya uchunguzi,
Inaonyesha ni jinsi gani chombo hicho mhimu kinashindwa kufanya majukumu kwa wakati, inamaana bila uwepo wa ziara za viongozi wakuu TAKUKURU hawawezi kufanya lolote mpaka waagizwe kwa kweli inatia hasira Sana.
Zipo ripoti za CAG zinazoonyesha ubadhirifu wa fedha katika sekta mbalimbali, zifanyieni kazi watuhumiwa wafikishwe mahakamani.
#kaziIendelee
Inashangaza kuona kila anapopita Mheshimiwa Waziri mkuu au Mheshimiwa Rais kubaini ubadhirifu wa fedha za serikali na kuagizwa Taasisi hiyo kufanya uchunguzi,
Inaonyesha ni jinsi gani chombo hicho mhimu kinashindwa kufanya majukumu kwa wakati, inamaana bila uwepo wa ziara za viongozi wakuu TAKUKURU hawawezi kufanya lolote mpaka waagizwe kwa kweli inatia hasira Sana.
Zipo ripoti za CAG zinazoonyesha ubadhirifu wa fedha katika sekta mbalimbali, zifanyieni kazi watuhumiwa wafikishwe mahakamani.
#kaziIendelee