Recent content by songea1

  1. songea1

    Fikra potofu kuhusu wanaume kuangalia baadhi ya tamthilia

    Inaonekana wengi hawajui maana ya Tamthilia naona wengi wanataja waphillipino, mala sijui mwanaume kutafuta. Vijana kila mtu anamaisha yake na mlengo wake kimaisha unaweza kuta huyo unae mdharau ndio boss wako anae kulelea mkeo na wanao.
  2. songea1

    Fikra potofu kuhusu wanaume kuangalia baadhi ya tamthilia

    Hawa hawajui wanacho zungumza sio kosa lao.
  3. songea1

    Ya CHADEMA, Lowassa, Dr. Mashinji na mgomo wa madaktari mwaka 2012

    Dah .. mtoa uzi sijui kavuta bangi.
  4. songea1

    Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

    Huyu alie toa uzi huu atakua darasa la pili
  5. songea1

    Padre Mapunda, huyaoni haya mazuri ya Kikwete?

    Acha uropokaji wewe unapafahamu muhimbili...? Njoo uingie wodi wa mwaisela na kibasila nenda kaone mashine za x ray zilivyo... au ngoja mkeo au mama yako aletwe hapa ndipo utapo tambua nn maana ya MNH
  6. songea1

    Mtanzania kulipa milioni tatu kwa ajili ya starehe ya siku moja ni ujambazi na kufuru

    Acheni uropokaji basi,, huo wizi uko aPi....? Fiesta walimlipa rick milioni miatano mliufyata leo mtanzania mwenzenu mnajaa mapovu mdomoni. Madawati kamulize raisi wako, starehe zao pesa yao wewe kunakuuma nn..? Hadi leo hii ushawahi changia madawati mangapi...? Kama sio uropokaji tu
  7. songea1

    Msikilizeni Zitto Star TV

    Tayari usha msikiliza
  8. songea1

    Mwanamama wa Shoka: Anna Mughwira - Mwenyekiti ACT Wazalendo

    Ipo siku utayakana maneno yako
  9. songea1

    Updates na Picha: Mkutano wa ACT-Wazalendo Arusha leo 29/04/2015

    Acha unafiki mzandiki mkubwa ww
Back
Top Bottom