Inaonekana wengi hawajui maana ya Tamthilia naona wengi wanataja waphillipino, mala sijui mwanaume kutafuta. Vijana kila mtu anamaisha yake na mlengo wake kimaisha unaweza kuta huyo unae mdharau ndio boss wako anae kulelea mkeo na wanao.
Acha uropokaji wewe unapafahamu muhimbili...? Njoo uingie wodi wa mwaisela na kibasila nenda kaone mashine za x ray zilivyo... au ngoja mkeo au mama yako aletwe hapa ndipo utapo tambua nn maana ya MNH
Acheni uropokaji basi,, huo wizi uko aPi....? Fiesta walimlipa rick milioni miatano mliufyata leo mtanzania mwenzenu mnajaa mapovu mdomoni.
Madawati kamulize raisi wako, starehe zao pesa yao wewe kunakuuma nn..?
Hadi leo hii ushawahi changia madawati mangapi...?
Kama sio uropokaji tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.