Ni kweli Fei siyo mchezaji wa pesa hizo lakini mara zote bei inapagwa kutokana na demand yako na Fei ni target no 1 kwa timu zote hapa nchini .
Na kwenye maisha hizi nafasi huwa zinabadilisha destiny mazima ya Familia mda wake wa kuamua Future ya ukoo wake
Tulidangaywa tu wazungu waliamua kusepa wenyewe kwa asilimia kubwa
Kingine mambo tunayofanyiana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya wakoloni ni vile tu ngozi wako hutilii maanani
Huruma siyo malezi na unaposema umesoma chuo kinaitwa Zanzibar health ni bora kwa kutumia vigezo gani
Ila kikubwa vyuo vya Afya nchi hii vichache sana kwa ngazi ya degree haziwezi kidhi mahitaji ya Form 6 na nyie wa diploma au mnajiita wenye professional
Taarifa yako irefushe tatizo imekaa kama hearsay mfano ana makosa mengi mwanzo ulisema Mwanza now imekuwa Geita hata parokia hutaji
Na ni mda gani umereport umeona kenya wamesimamishwa mapadri 6 ni mchakato pia unahusisha proceeding nyingi na inatakiwa uongee kwa uwazi
Serikali haya maandamo hata hayakuwepo literally wenyewe wameyapa publicity
Lakini maisha yatakuwa hivi daile mtu akisema maandamo viongozi wanakuwa panic attack
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.