Tulidangaywa tu wazungu waliamua kusepa wenyewe kwa asilimia kubwa
Kingine mambo tunayofanyiana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya wakoloni ni vile tu ngozi wako hutilii maanani
Huruma siyo malezi na unaposema umesoma chuo kinaitwa Zanzibar health ni bora kwa kutumia vigezo gani
Ila kikubwa vyuo vya Afya nchi hii vichache sana kwa ngazi ya degree haziwezi kidhi mahitaji ya Form 6 na nyie wa diploma au mnajiita wenye professional
Taarifa yako irefushe tatizo imekaa kama hearsay mfano ana makosa mengi mwanzo ulisema Mwanza now imekuwa Geita hata parokia hutaji
Na ni mda gani umereport umeona kenya wamesimamishwa mapadri 6 ni mchakato pia unahusisha proceeding nyingi na inatakiwa uongee kwa uwazi
Serikali haya maandamo hata hayakuwepo literally wenyewe wameyapa publicity
Lakini maisha yatakuwa hivi daile mtu akisema maandamo viongozi wanakuwa panic attack
Mtoa maada yupo sahihi kama alikosa inabidi mtu ajulishwe na kingine kama wanataka kuajiri mtu wa dini yao au mchaga mwenzo wangesema umekosa kisa we sio dhehebu letu, mchaga na hata kama hakufaulu
Kama taifa tupende kuwajibika watu wengi wanamshambulia mtoa maada wakati hamna alichokosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.