Ni bora wafanye hivo kwa mipango ya CCM bora Wakazie hapo hapo kijegwe kimoja kimoja wakiruhusu tu na serengeti nayo ijengwe imeisha hiyo maana kujenga vyote ni kama kuwacontradict na kuwapotezea muda
Naelewa concern yako TA lakini machache kwangu naona anayewapangia kutibu ni nani why msimuulize kwa nini anawapa kazi so zenu
Kingine umeajiriwa Training post omba nafasi ukasomee na ufanye research zako publish zitakusaidia mbeleni
Elimu hii hii wazungu wanasoma ukitoa sehemu ya practical oriented hamna utofouti mkubwa tatizo policy mbovu na self Discipline
Mfano kama huzalishi utaajiri vipi wasomi wote na hapo kuna mambo mengi muwekezaji akiwa mbongo anapitia
Elimu ina shida ila tatizo kuu hata siyo Elimu ni mfumo wa uongozi na kisiasa elimu tunaisingizia
Mfano tuna resources lukuki zinatusaidiaje kama Taifa na mtu akila kidogo chetu anawajibika adhabu yake ni nini watu kazi kuiba tu
Elimu yoyote haiwezi kutusaidia kama hatufanyi ya muhimu
Mheshimiwa President why wakenya wenyewe wanamafuta soon wanaweza kuanza kuzalisha wanapigia chapuo Refinery ijegwe Tanzania wakati huo huo Tanzania haina mafuta na inategemea mafuta ya waganda ambao wenye mali waliona bora yaende Europe huko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.