Recent content by song 16

  1. S

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Unauhakika anatoa Fedha watu wa Dar tunalalamika ,Mbeya . Arusha na Kahama hali ni hiyo hiyo au wapi hali ni nzuri
  2. S

    JamiiForums Tanzania Trump alivyosema waafrika inabidi watawaliwe tena hakukosea

    Information gani
  3. S

    JamiiForums Tanzania TANZIA Agnes Nasania Diwani Kata ya Shelui, Wilaya ya Iramba afariki Dunia

    Ulitaka afe nani
  4. S

    JamiiForums Tanzania Andiko la mchekeshaji Shafii, limeniumiza sana mimi kama kijana

    Standard zako za utajiri ndogo sana
  5. S

    JamiiForums Tanzania Drake ni G.O.A.T, wamejaribu kukandamiza carreer yake ila mwana bado yupo hai, tangu jana nakula hits after hits kwenye hizi projects zake mpya

    Industry ipo ovyo tu hamna watu wapya wakali na hiyo inapelekea watu kama Kanye na Drake bado wanatrend ilihali ubora umepungua
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwenu wabunge wa Kanda ya Ziwa: Airport ya Mwanza iboreshwe lakini hoja zenu za kikanda zisiwe sababu ya kupinga ujenzi wa uwanja wa Serengeti

    Ni bora wafanye hivo kwa mipango ya CCM bora Wakazie hapo hapo kijegwe kimoja kimoja wakiruhusu tu na serengeti nayo ijengwe imeisha hiyo maana kujenga vyote ni kama kuwacontradict na kuwapotezea muda
  7. S

    JamiiForums Tanzania KERO Tutorial Assistants wa School of Medicine and Dentistry wa UDOM tunafanyishwa kazi tofauti na tunazopaswa kufanya

    Naelewa concern yako TA lakini machache kwangu naona anayewapangia kutibu ni nani why msimuulize kwa nini anawapa kazi so zenu Kingine umeajiriwa Training post omba nafasi ukasomee na ufanye research zako publish zitakusaidia mbeleni
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Elimu hii hii wazungu wanasoma ukitoa sehemu ya practical oriented hamna utofouti mkubwa tatizo policy mbovu na self Discipline Mfano kama huzalishi utaajiri vipi wasomi wote na hapo kuna mambo mengi muwekezaji akiwa mbongo anapitia
  9. S

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Hizo access hazibe provided na elimu ni political will mpaka Leo reason ya kutokuwa na Internet ni maamuzi ya watawala wetu
  10. S

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Elimu ina shida ila tatizo kuu hata siyo Elimu ni mfumo wa uongozi na kisiasa elimu tunaisingizia Mfano tuna resources lukuki zinatusaidiaje kama Taifa na mtu akila kidogo chetu anawajibika adhabu yake ni nini watu kazi kuiba tu Elimu yoyote haiwezi kutusaidia kama hatufanyi ya muhimu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Kuna haja Tanzania tukaiga mfumo wa elimu wa Irani

    Tunalaumu Elimu bure na wazungu tatizo tunapenda shortcut na maendeleo ya kijanja kijanja
  12. S

    JamiiForums Tanzania Kwa nini wanasheria huwa wanatetea watu waovu?

    Wanasheria wa serikali wanatetea watu wema kwani
  13. S

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje Mafuta yatoke Uganda yakasafishwe Ufaransa na Sio Tanzania kisha yaende nje?

    Hapo sawa lakini umesema Crude oil iliyopo Hoima ni kwa ajili ya matumizi ya Europe maana yake hiyo Refinery ina source gani ya Crude oil nyingine
  14. S

    JamiiForums Tanzania Ilikuwaje Mafuta yatoke Uganda yakasafishwe Ufaransa na Sio Tanzania kisha yaende nje?

    Mheshimiwa President why wakenya wenyewe wanamafuta soon wanaweza kuanza kuzalisha wanapigia chapuo Refinery ijegwe Tanzania wakati huo huo Tanzania haina mafuta na inategemea mafuta ya waganda ambao wenye mali waliona bora yaende Europe huko
Back
Top Bottom