Baadae wakakope hela za NHIF kuendeshea miradi na halmashauri na hawarudishi
NHIF ilianza vizuri tu walipoanza kukopeshana na kulipana vizuri hela ikaisha ,kurescue situation wakaleta bando kwenye bima nayo imeshindikana wanapambana na hii bima kwa wote
Mtu kaweka Camera eneo nyumbani kwake au kwenye biashara yake nje hapo ameingilia faragha ipi ya mtu
Waafrica sisi ni wapumbafu sana hizi CCTV zingewekwa mpaka barabarani huko lakini sasa tunaanza kuzipiga vita
Mtazamo wangu ,Kwanza hamna Elimu ya Tanzania wala ya dunia kwa kiasi kikubwa Elimu ni ile ile tu kuna vitu vidogo kwenye Elimu na baada ya Elimu hapa Tanzania tunakosa
Kuhusu kufa kwa Sahara si suala la Elimu tu kuna mambo mengi mfano halisi leo media nyingi zinakufa kutokana na policy za nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.