Recent content by song 16

  1. S

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Wote hao ni CCM nami naombea zanzibar iwe nchi ijitegemeeMuungano wa kiboya uliopo hautusaidii kama taifa
  2. S

    Serikali Yaweka Historia Mpya Afya: Huduma 372 kwa Familia kwa TSh. 150,000/=

    Baadae wakakope hela za NHIF kuendeshea miradi na halmashauri na hawarudishi NHIF ilianza vizuri tu walipoanza kukopeshana na kulipana vizuri hela ikaisha ,kurescue situation wakaleta bando kwenye bima nayo imeshindikana wanapambana na hii bima kwa wote
  3. S

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Hamna mwenye shida na zanzibar isipokuwa CCM CCM wanaifaidisha sana zanzibari Muungano huo ni scam tu sema hivo unanufaisha watawala na wazanzibar
  4. S

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Ukiangalia hapo utagundua uwendawazimu wasisi ,kama wazanzibari hawatupendi je sa hizi wanamamlaka yote wanatupenda
  5. S

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Ukiwa CCM na unataka kuhalalisha jambo lolote unaruhusiwa kusema vyovyote
  6. S

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Mtu kaweka Camera eneo nyumbani kwake au kwenye biashara yake nje hapo ameingilia faragha ipi ya mtu Waafrica sisi ni wapumbafu sana hizi CCTV zingewekwa mpaka barabarani huko lakini sasa tunaanza kuzipiga vita
  7. S

    Rais Samia: Siku hizi mabakuli hayaingizi kitu. Mikopo ipo lakini misaada safi imepungua

    Ukiangalia tu viongozi wetu unajua jinsi tusivyokuwa serious, wakiongea sasa unajificha
  8. S

    Mkurugenzi DUWASA(Dodoma): Kama umechimba kisima tumia na familia yako usiwape wengine, haturuhusu wenye visima kusambaza maji kwa wananchi

    Yuko sawa kinadharia lakini kiutendaji ni wrong ,solution hapa ni kuleta maji watu wanakaa miezi mi 3 au 4 hawana maji unataka wayatoe wapi
  9. S

    Wasomi wa taaluma ya habari wameizika Sahara media wasio wasomi waliisimamisha, FUNZO kwa wamiliki wa vyombo vya habari Tanzania Dr Ryoba ana Nini?

    Mtazamo wangu ,Kwanza hamna Elimu ya Tanzania wala ya dunia kwa kiasi kikubwa Elimu ni ile ile tu kuna vitu vidogo kwenye Elimu na baada ya Elimu hapa Tanzania tunakosa Kuhusu kufa kwa Sahara si suala la Elimu tu kuna mambo mengi mfano halisi leo media nyingi zinakufa kutokana na policy za nchi...
  10. S

    Makonda: Nyasi za Benjamini Mkapa kupandwa upya

    Wale wa mwanzo waliopiga hela wawajibishwe kwenye viti
  11. S

    Muhimbili watolea ufafanuzi Hoja zilizotolewa na Dudubaya kuhusu MRI

    Kama Taifa tuweke kipaumbale Afya tokea uhuru ingebidi tuwe na MRI kila hospital ya mkoa (Referral) hizo za mtumba zibaki wilayani
  12. S

    Hivi, minimum requirement ya kuwa Mbunge Tanzania ikiwa labda Masters Degree ndo tutapata mabadiliko?

    Tunaweza kujadili kwa kutumia logic unahisi kukosa elimu ya Masters kwa wabunge wetu ndo kinachotukwamisha nadhani unajidanganya pakubwa sana
  13. S

    Uislamu na kuchinja mifugo inayoliwa na watu

    Nakumbuka miaka ya 2015 lakini ulitatuliwa kama kuna ishu tena imetokea tuelezane
Back
Top Bottom