Recent content by song 16

  1. S

    JamiiForums Tanzania Waafrika tuliwafukuza wakoloni sasahivi watu wetu wanakimbilia nchi za Ulaya kutafuta maisha mazuri. Isn't that failure?

    Tulidangaywa tu wazungu waliamua kusepa wenyewe kwa asilimia kubwa Kingine mambo tunayofanyiana wenyewe kwa wenyewe ni zaidi ya wakoloni ni vile tu ngozi wako hutilii maanani
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kanisa halikupigania kabisa uhuru wa Tanganyika?

    Mimi nikosema mfano uhuru hatukupigia tulipewa nakuwa nimekosea
  3. S

    JamiiForums Tanzania KERO Serikali irekebishe Kanuni hizi, zinatuzuia wenye Diploma za Medicine kusomea Degree

    Huruma siyo malezi na unaposema umesoma chuo kinaitwa Zanzibar health ni bora kwa kutumia vigezo gani Ila kikubwa vyuo vya Afya nchi hii vichache sana kwa ngazi ya degree haziwezi kidhi mahitaji ya Form 6 na nyie wa diploma au mnajiita wenye professional
  4. S

    JamiiForums Tanzania Padri Dkt Vicent Mpwaji Ateuliwa Kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu La Dar Es Salaam

    Paragraph ya mwisho umesema lipo on process unataka uwajibishwaji inabidi usubiri sasa
  5. S

    JamiiForums Tanzania Padri Dkt Vicent Mpwaji Ateuliwa Kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu La Dar Es Salaam

    Taarifa yako irefushe tatizo imekaa kama hearsay mfano ana makosa mengi mwanzo ulisema Mwanza now imekuwa Geita hata parokia hutaji Na ni mda gani umereport umeona kenya wamesimamishwa mapadri 6 ni mchakato pia unahusisha proceeding nyingi na inatakiwa uongee kwa uwazi
  6. S

    JamiiForums Tanzania Padri Dkt Vicent Mpwaji Ateuliwa Kuwa Askofu Msaidizi Jimbo Kuu La Dar Es Salaam

    Anaitwa nani na yupo parish ipi Inawezekana Askofu na viongozi wake hawana taarifa na ushahidi
  7. S

    JamiiForums Tanzania TOC iachwe ichape kazi; Viongozi wapya hawa hapa!

    Kazi ya hiyo kamati ni nini?
  8. S

    JamiiForums Tanzania Tusidanganyane :Sioni uwezekano wa watu kuandamana 7/7.

    Serikali haya maandamo hata hayakuwepo literally wenyewe wameyapa publicity Lakini maisha yatakuwa hivi daile mtu akisema maandamo viongozi wanakuwa panic attack
  9. S

    JamiiForums Tanzania RC Simon Sirro: Kwa uzoefu wa askari wetu kifo cha dereva wa Heche kilikuwa cha kawaida

    Si angeacha tu RPC azungumzie yeye hiyo inshu anahusikaje
  10. S

    JamiiForums Tanzania Serengeti imekuwa ikiinufaisha Arusha kwa miaka mingi, Ujenzi wa uwanja wa ndege unawapa hofu kubwa sana ndio maana hoja haikauki bungeni

    Tunaenda kupigwa tena na watu wa musoma now wanashangilia kitu wasichokielewa Kikubwa kuliko vyote wasitumie hela za PSSF mradi mzima kuna upigqji tu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Utawala wa Sultan Zanzibar ulikuwa mbaya sana au kuna namna tumelishwa matangopori?

    Ulikuwa mbaya sema wanachokifanya watawala wa leo wa Zanzibar na Tanganyika ni zaidi ya hao masultan
  12. S

    JamiiForums Tanzania KERO Nilihamishwa kwa lazima Halmashauri moja kwenda nyingine Mwaka 2024, sijalipwa stahiki za uhamisho mpaka leo

    Kama ulihamishwa bila kuomba au hukufanya kosa lolote usingeend na ungewandikia barua huna pesa ya kuhamia huko
  13. S

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Akiba yetu ya dhahabu ni tani 27.5 yenye thamani ya Trilioni 10. Hapa tulipofika si haba

    Uwezo mdogo kuchanganua mambo tatizo
  14. S

    JamiiForums Tanzania KERO HR vyuo vikuu vya Tumaini Makumira na Tumaini Dar es Salaam (Dartu) kuna tatizo gani? Mnaita watu kwenye interview halafu mnapotea mazima. Kulikoni?

    Mtoa maada yupo sahihi kama alikosa inabidi mtu ajulishwe na kingine kama wanataka kuajiri mtu wa dini yao au mchaga mwenzo wangesema umekosa kisa we sio dhehebu letu, mchaga na hata kama hakufaulu Kama taifa tupende kuwajibika watu wengi wanamshambulia mtoa maada wakati hamna alichokosea
Back
Top Bottom