Kuna mchungaji fulani amekuwa akitoa matamko ya kufa kwa watu fulani kisa wamefanya mambo ambayo hayamfurahishi.
Kwanza aliwatishia waandishi wa habari walioandika tukio la kashfa yake ambayo aliripotiwa kuzidisha matumizi ya divai ambayo haipatikani kanisani.
Pili kuna msanii kajinasibu...
Ndugu wana JF
Prof. Lipumba ni mmoja wa wamchumi nguli waliowahi kutokea nchini. Huyu bwana mbali tuu na kujivua uenyekiti wa chama chake cha CUF katika kipindi ambacho walikuwa wanamhitaji sana, lakini yeye amemkubali Rais JPM kuwa rais halali tofauti na msimamo wa chama chake ambacho kinaunda...
Jumamosi na jumapili ni siku za ibada kwa madhehebu ya ki kristo!! Na ijumaa ni siku ya ibada kwa waislam!! Lakini serikali ililazimisha siku ya uchaguzi kuwa jumapili ambayo ni siku ya ibada. Kwangu mimi nadhani siku ya uchaguzi ni muhimu zaidi kuliko sikukuu zote za kitaifa/kiserikali. Kwani...
Ndugu wana JF
Nilikuwa natizama mdahalo wa wagombea ubunge wa jimbo la ukonga. Nilichoona ni kuwa ndugu Habib Mchange wa ACT hana Sera au hawezi kujieleza ni namna gani ataleta na kutatua matatizo ya elimu, afya na mimba za wanafunzi. Nimejaribu kumwelewa Sera zake lakini nilichoambulia ni...
Ndugu wana JF
Utafiti na matokeo yalitolewa na taasisi hii kweli umedhalilisha taaluma ya utafiti ya watanzania. Kuna watafiti wengi wa kitanzania ambao wanaheshimika kimataifa kwa kazi zao zilizotukuka za utafiti hapa nchini. Walichokifanya twaweza ni kuacha misingi na miiko ya taaluma ya...
Mkuu!!
Hoja ya slaa inashia pale tuu bunge lilipoishia hitimisho. Hana ushahidi zaidi ya pale na ndo maana alimwita Mwakyembe kabla ya press yake ya kwanza. Na kamati ya mwakyembe haijamsema directly El kuwa Richmond ni yake. Elewa hoja yangu!! I need a direct evidence linked to EL mischief...
Wana JF
Naombeni mnishawishi Kwa ushahidi wa moja Kwa moja na usio na maswali kuhusu ufisadi wa EL. Huyu mtu amesingiziwa kuwa fisadi zaidi kutokakana na skendo ya Richmond. Sasa mimi naomba niambiwe na nionyeshwe Kwa nyaraka/ vielelezo vinavyoonyesha ni namna gani huyu Jamaa alinufaika/...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.