somijo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 110
- 47
Wana JF
Naombeni mnishawishi Kwa ushahidi wa moja Kwa moja na usio na maswali kuhusu ufisadi wa EL. Huyu mtu amesingiziwa kuwa fisadi zaidi kutokakana na skendo ya Richmond. Sasa mimi naomba niambiwe na nionyeshwe Kwa nyaraka/ vielelezo vinavyoonyesha ni namna gani huyu Jamaa alinufaika/ ananufaika na huu mradi. Au hata kama kuna jina la mwanae linagusa moja kwa moja au ndugu yeyote kwenye hiyo kampuni. Nikupe mfano, kwende kashfa ya Escrow, wahusika wameonyeshwa kinagaubaga na wengine wamekiri Kwa vinywa vyao kupokea pesa.
Lakini vilevile kuna vigogo nchini wanaosemwa kuwa mafisadi na ukweli unaweza kuamini Kwa vitendo vyao, mfano umilikaji wa mali, kama aliyekuwa mhasibu wa CCM, kuna mwingine ni kiongozi wa kilabu cha mpira, na mwingine nimeambiwa ana control mamlaka ya mafuta.
Dr. WS anamsema kuwa ni fisadi lakini haonyeshi direct evidence (without doubt) za namna gani EL ananufaika na Richmond( in short ni mzushi na akatubu)
Sasa naombeni mnisaidie nyie mnaomwita EL fisadi ni mali gani anamiliki huyu bwana, alizopata kifisadi, na ni kiasi gani?? Na anaufisadi gani mwingine??
Vinginevyo tuache ushabiki/ na kutenda dhambi ya uongo Kwa huyu Mzee!!!
Na ikiwezeka mpigieni kura na mwacheni tu awe raisi wa taifa hili then tuje tumhukumu 2020
Nawasilisha
Naombeni mnishawishi Kwa ushahidi wa moja Kwa moja na usio na maswali kuhusu ufisadi wa EL. Huyu mtu amesingiziwa kuwa fisadi zaidi kutokakana na skendo ya Richmond. Sasa mimi naomba niambiwe na nionyeshwe Kwa nyaraka/ vielelezo vinavyoonyesha ni namna gani huyu Jamaa alinufaika/ ananufaika na huu mradi. Au hata kama kuna jina la mwanae linagusa moja kwa moja au ndugu yeyote kwenye hiyo kampuni. Nikupe mfano, kwende kashfa ya Escrow, wahusika wameonyeshwa kinagaubaga na wengine wamekiri Kwa vinywa vyao kupokea pesa.
Lakini vilevile kuna vigogo nchini wanaosemwa kuwa mafisadi na ukweli unaweza kuamini Kwa vitendo vyao, mfano umilikaji wa mali, kama aliyekuwa mhasibu wa CCM, kuna mwingine ni kiongozi wa kilabu cha mpira, na mwingine nimeambiwa ana control mamlaka ya mafuta.
Dr. WS anamsema kuwa ni fisadi lakini haonyeshi direct evidence (without doubt) za namna gani EL ananufaika na Richmond( in short ni mzushi na akatubu)
Sasa naombeni mnisaidie nyie mnaomwita EL fisadi ni mali gani anamiliki huyu bwana, alizopata kifisadi, na ni kiasi gani?? Na anaufisadi gani mwingine??
Vinginevyo tuache ushabiki/ na kutenda dhambi ya uongo Kwa huyu Mzee!!!
Na ikiwezeka mpigieni kura na mwacheni tu awe raisi wa taifa hili then tuje tumhukumu 2020
Nawasilisha