ikinyunyi
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 1,065
- 932
Halafu wote wa kikehalfu mbona yai linataga wazungu tu?
Halafu wote wa kikehalfu mbona yai linataga wazungu tu?
Hao wanawake wa huko watakuwa wananuka papuchi kama wolpa.Katika utafiti wa kijiografia huko Marekani, imegundulika kuwa katika sayari ya jupiter pia huishi binadamu kama sayari yetu hii ya dunia [earth].
Tofauti iliyopo kati yao na siye ni kwamba, sisi huzaliwa kwa kupitia mama zetu baada ya kubeba mimba miezi 9 lakini wao hutotolewa kama vifaranga vya Mbuni baada ya kukaa katika yai mwaka 1 na miezi 7.
Wanaishi maisha mazuri sana kama ya Adamu na Eva. Hawaugui wala kufa bali wakizeeka huyeyuka na kupaa mbinguni. Wanaishi maisha ambayo hayapo duniani, hakuna magari wala majumba zaidi ya yote huko hakuna UKIMWI.
HII NDO JUPITER
View attachment 401458
nani atawadu sasa?Halafu wote wa kike
Hlf et kifaranga cha mwaka1 na miez7 ndo kinakuwa kikubwa hvyo na chura yote hyo
Wamezaliwa wakiwa wamevaa sidilia na chupi
Umeona eeh, umewaza mbali xn nmekubali kumbe humu Jf kuna ma-great thinkernani atawadu sasa?
ndiyo mkuu sababu hata yai liweze kutotoa linahitaji mbeguUmeona eeh, umewaza mbali xn nmekubali kumbe humu Jf kuna ma-great thinker
yeezus, unaonwa ujue!!!Hao wanawake wa huko watakuwa wananuka papuchi kama wolpa.
Yep, jogoo muhimu miss....teh tehndiyo mkuu sababu hata yai liweze kutotoa linahitaji mbegu
Yaani nilivyosoma posti hili ndilo.swali.lililonijia..... maana kupitisha kichwa cha mtoto tu ni issue sembuse kunya yai....Mmmhhh hilo yai linatagwa na nani sasa?
Kubwa kiasi hicho
bahati mbaya au nzuri mimi ningekuwa ndo mtafiti halafu napelekwa huko ndo sirudi tena nabaki huko huko nakuwa nawapiga miti hao walembo waliotoka kutotolewaMbona wanatotolewa wanawake tupu kwnye hayo mayai?
Halafu wanazaliwa wameshatoka na vichuchu
Ndo swal la msingiMmmhhh hilo yai linatagwa na nani sasa?
Kubwa kiasi hicho
Kwa hiyo kungekuw na mbongo japo mmoja ungeamini?mbona wote weupe hakuna mbongo hata mmoja???basi huo ni uongo