Mkoani Tabora Mahakama ya Mkoa na Wilaya ziko eneo moja, nilifika jana na kushindwa kupata huduma mapema, kuna Mahakimu 2, mmoja ni wiki sasa ameenda kuchukua mizigo, ni mgeni kituo hiki.
Huyo aliyebaki kazi yake ni kuahirisha kesi, kazidiwa, haki za watuhumiwa ziko wapi?
ni ukweli usiopingika hakuna chama chenye sera nzuri kama ccm, hata ukiniamsha toka usingizini nitakwambia hivyo, kwa upande wa pili ccm imetekwa na kuziacha sera zake kwenye makaratasi, na hajapatikana wa kusema INATOSHA turudi kwenye mstari!
pole ndugu, yote tisa sawa, lakini hili la uchwara, naona kama unawapa hadhi ambayo si stahiki! nipo nao mwaka sasa kama mwanachama wa hiari, nssf mambo yao kwa mtazamo wangu, kama bima yao ya afya naona safi sana.
maswali yako yananipa shaka na kupata hisia jf imeingiliwa na watoto wa chekechea, na si house of great thinkers, kwani hata aliehitimu darasa la saba kwa weledi anayo majibu kwa maswali yako!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.