pumzika tu mamy chunusi za ujauzito hazitokagi matter of time ukijifungua zitaondoka zenyewe kwa sababu zinasababishwa na hormonal imbalances hata upake nn hazitoki
kuna habari nimeiona mitandaoni lakini sijapata chanzo makini cha kudhibitisha hilo. chuo kikuu cha Dar es salaam wametengua usaili wa wanafunzi wake takribani 682 waliokuwa wamedahiliwa chuoni hapo. naomba mwenye kujua lolote kuhusu hili jambo atueleze
Habarini wana jamvi. Natarajia kumpeleka kijana wangu wa kiume kuanza kidato cha kwanza utakapoanza mwaka 2017 lakini naomba mchango kuhusu shule hii kwa walio na uzoefu nao najua ni shule ya dini na matokeo ya necta nimejaribu kuangalia kidogo. Nahitaji mchango kwa waliopitapita hapo nachelea...
Kutoa maneno kama haya inaonyesha huna malezi yenye maadili. Mungu saidia ili tupate wazazi wenye hekima kwa malezi mazuri ya watoto wetu ambao ni taifa la kesho. Ww kama ni baba wa familia unatoa maneno ya shombo kiasi hicho sina imani na maadili ya watoto wako
Mbali ya kuwa watt hawapendi kujifunika na kesi ya joto pia ila binafsi yangu sipendi kumfunika mtt kwa kesi ya usalama wanapenda kuvutavuta nguo ili atafute mwishoni zimfunike asiweze kupumua mmmmmmh nawazaga sana bora nimvalishe mikanyela mumo ya kulalia full joto
Ni nyingi kwa kweli. Ila sijui hata nikwambiaje I remember my son akiwa na umri before 6 months alikuwa hataki kulala na anakomaa kwelikweli nikaamua kumpa uji wa kuchuja after that akawa analala vzr tu. My be factor ya c section
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.