We ndio muongo kabisa unajua babaake obama alikuwa nani kenya,alikuwa mchumi mkuu wa serikali kenya atakuwaje na hali duni? But haliduni haihalalishi ww kufanya uhalifu kama makonds
Jana nilikuwa nasikiliza radio clouds nikiwa ktk kazi zangu ,watangazaji walikuwa wasichana wanaonyesha wa town haswa basi wakawa wanasema kolomije kisha wakacheka sana, chezea watoto wa town clouds wamemtumia bashite kwa interest zao leo wanamcheka but ni kweli ushamba mzigo na watu...
Hivi,jamaa hana aibu kabisa,amepoteza credibility kabisa hadi secritary wake kisiri wanamdharau, muhimu ni kutoa vyeti tu mbona simple tu au ajiuzuru au wamtoe kiaina wampeleke ubalozini huko akawe msaidizi wa balozi hivi watu wamsahau maana ni aibu kubwa
Huyu jamaa iq yake iko chini mno,sasa anajibu madudu gani hayo,hata kujibu hoja hajui ,mbona simple tu,mkuu toa vyeti hayo ya ugumba hatuna haja nayo,tunataka vyeti
Serengo bora ww hilo jina halijakusaidia kufaulu,makonda katumia cheti cha mwingine ndio shida hapo,lakini hata ww kwa zamani ungegunduliwa ungetumbuliwa form one,lakini tukiri hata ww hujisikii raha,kutumia jina la mwingine,je huyo jamaa akija na cheti cha kuzaliwa akadai hivyo vyeti...
Hapendi mapambio sawa tu,pia hawapendi yanga sawa tu,he is too hash kwani kuna ubaya gani? yetu macho 2020 atakavyowatafuta waimba mapambio kwa tochi na kuwa mgeni rasmi mechi ya yanga na simba
Kwa hiyo hata huo unga hawajamkuta nao kama bangi wasihangaike waende timu zote za mpira jioni watawakamata mpaka uwanja wa taifa utajaaa wavuta bangi ni wengi mno wala siyo habari hiyo nenda site za ujenzi wati karibia woye wanapiga watamfunga tu wema wapate kiki but case haina mashiko mi...
TRA chato na airport ya chato tender ilitangazwa lini,pia unadhani mchina mjinga pesa atoe yy kazi wapewe wengine mturuki fundi sawa pesa za mradi anazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.