Recent content by SOKA MARUU-KOMBO -TAPA

  1. S

    Dotto Bulendu: Naamini CHADEMA watavuka katika hili, haya hutokea Taasisi inapokua

    Mku ushahidi zaidi wa nini. Wakati sifia sifia na nguvu kubwa kulazimisha jambo inaonekana. Angalia TBC majibu utayaona. Mimi na ukada wote ninachoka tusifie mara moja kwa mwenzi sio kila siku yale yale ndo mwisho tunaoneka wote bado
  2. S

    Dotto Bulendu: Naamini CHADEMA watavuka katika hili, haya hutokea Taasisi inapokua

    Mwanaccm mwenzangu ninaamini katika ukweli. Mku Chadema sio chama cha msimu tena kila kona ya Nchi katika mijadala ya siasa Chadema ina msingi mkubwa sana kwa raia wanaoishi Itikadi hiki chama na hiyo Itikadi inaishi rohoni mwao. Kwa hiyo Chadema si chama kubeza. Ulishawahi kujiuliza kwa nini...
  3. S

    Dotto Bulendu: Naamini CHADEMA watavuka katika hili, haya hutokea Taasisi inapokua

    Asante kwa uchambuzi uliotulia. Najua katika uchambuzi huu wa kukuelewa amekuekewa vizuri sana.
  4. S

    Endapo kuna mtu au kikundi cha watu kipo juu ya Sheria na Katiba, basi Taifa halipo huru

    Mungu ataamua na maisha yatakavyo kuwa kwani kila nikiangalia na kutafakari bado sioni yaliyo na matumaini. Ni Mungu ndo mwenye njia kamili
  5. S

    Dakika ya 89: Freeman Mbowe 0 vs Halima Mdee 5

    Nakumbuka Mbowe aliwapa nafasi ya kuomba msamaha. Ninaamini 19 kuvaa gwanda ndo kuonyesha Itikadi yao wanayoishi nayo rohoni Kama nilivyo Mimi mwanaccm
  6. S

    Mkakati wa CHADEMA Kugomea Viti Maalumu ni 'Political Maneuver' isiyokuwa na tija yoyote

    Mku pale kwenye makosa kupinga ni muhimu ili wajifunze waliko jikwaa
  7. S

    Baada ya Humphrey Polepole kuteuliwa kuwa Mbunge. Je, nani kuchukua nafasi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi ndani ya CCM?

    Mtu atoke upinzani juzi tu ndo apewe Ukatibu. Tucheze na Itikadi zinazoishi rohoni
  8. S

    CHADEMA wagomee ruzuku ili kudhihirisha hawautambui Uchaguzi Mkuu

    Fuatilia historia ya chadema vizuri wala hutajitesa kuzungumzi neno ruzuku. Chadema inaishi ktk roho za wafuasi na wasio wafuasi
  9. S

    Casual observation yangu ni kuwa watu wamefurahia adhabu ya Halima na wenzake 18

    Mku Itikadi inashi Rohoni kama ilivyo Imani unayoishi ww. Kumbuka Chadema imekeza kwa Wanachama sio kwa Mtu. Mfano anangalia pale chadema changamoto raia hujitoa kwa ajili hicho chama kwa njia ya Michango na misaada mingine. Sawa mwanaccm mwenzangu bila upinzani tutapiga usingizi wa kusifia watu...
  10. S

    Nani anafaa kuwa Mwenyekiti wa BAWACHA baada ya Viongozi kutimuliwa?

    Yule Dada wa Morogoro mjini kwa jina simkumbuki
  11. S

    Dar: Wabunge 19 wa Viti Maalum waliovuliwa uwanachama na CHADEMA, Kuongea na Wanahabari

    Mku hata Mashinji na Dr Slaa waliandaliwa press ss kama ccm tulifaidika na nini
Back
Top Bottom