Mkakati wa CHADEMA Kugomea Viti Maalumu ni 'Political Maneuver' isiyokuwa na tija yoyote

Wewe kweli ni takataka! Niliposoma mistari miwili ya mwanzo sikutaka kuendelea kusoma upumbavu! Chadema wanakuambia hawawezi kuteua wabunge wa viti maalumu kwa vile kufanya hivyo ni kubariki uchafuzi uliopita. Wewe unakuja hapa na mahipsi yako unatoa ushauri wako wa kifala eti chadema wangeteua wabunge hao wa viti maalumu yasingetokea hayo! Jinga sana

Sent from my SM-A705FN using JamiiForums mobile app

Jaziba, matusi, lugha kali hazijawahi kuwa substitute ya nguvu ya hoja na hazitakaa ziwe. Kwa hiyo, ukiona mtu anakimbilia kurusha matusi, jua kuwa huyo anahitaji kuombewa, kwa sababu hayo matusi ndiyo the best his or her brain can offer!
 
Sawa mkuu, ila kunywa maji pumzika kwanza. Ni ngumu sana kupingana na ukweli. Ni lini tumeanza kuwaonea huruma CDM waingie bungeni kwa hizo njia haramu?

Naamini unajua kuwa maada iliyopo mezani haihusu kuingia bungeni kwa njia haramu!
 
Jazba, matusi, lugha kali hazijawahi kuwa substitute ya nguvu za hoja na hazitakaa ziwe. Hoja hujibiwa kwa hoja. So far, you haven’t offered any opposing argument!

You seem to be in undeniable state...

Why don't you access yourself and accept that you wrote nothing that can be opposed..?

The argument you posted is itself opposing. That's what I have been telling you in all of my comments..

No one can oppose anything in something which has no substance at sametime opposing itself...!!
 
Kama huna chama mambo ya chadema na wewe wapi na wapi? Kwani usidili na serikali yako ambayo maamuzi yake yana direct athari kwenye maisha yako.
Kauli hizi ni za kipumbavu sana, huyo ambaye unaniona hayamuhusu ya Chadema leo ikifika wakati wa kampeni unasema ipigie kura CHADEMA...!!!
Naye atasema waipigie wanahusika nayo.. yaani wakereketwa na WANACHAMA afu tuone Kama kura zitatosha..
Tambua chama ni mali ya umma na wanakula ruzuku ya serikali ambayo ni KODI anayokatwa KILA raia hata mwanaccm na wasio na vyama..
Kama vip hata taarifa zake msituletee humu JF pelekeni huko WhatsApp, telegram..
 
Mimi inaniwia vigumu sana kuamini kwamba viongozi wa vyama vyetu vya upinzani wana uwezo wa kujifunza kutokana na makosa yao ya nyuma. Wangekuwa na huo uwezo, leo hii CHADEMA wasingekuwa wanajiuguza majeraha makubwa yaliyoletwa na dhoruba la Viti Maalum vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Sio siri, kufukuza makada waandamizi 19 ni msiba mkubwa sana kwa chama, ambao haukuwa wa lazima!.

CHADEMA ilipaswa kuteua Wabunge wa Viti Maalum mapema iwezekanavyo na kulimaliza hilo swala kwa amani. Mkakati wa kugomea Viti Maalum ni 'Political Maneuver' ambayo haikuwa na tija yoyote, kwa sababu kadhaa:

1. Historically, vyama vyetu vya upinzani vimewahi kususia mambo mengi na kufanya migomo ya aina mbalimbali, ambayo matokeo yake sote tunajua yalikuwa ni hasara zaidi kuliko manufaa kwa upinzani. Mifano ni mingi sana, lakini nitataja miwili tu mikubwa. Kwanza, mwaka 2015, Maalim Seif alisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar akiamini kwamba kuna siku angepewa ushindi wa mezani na kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar.

Alisubiri mpaka muda wa uchaguzi mwingine ukafika bila kupewa ushindi wa mezani kama ndoto yake isiyokuwa na mbele wala nyuma ilivyomtuma. CUF paid a heavy price kwa sababu ya poor judgment ya viongozi wake. Pili, mwaka 2019, wapinzani walisusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Matokeo yake, CCM swept all seats. Hiyo ilikuwa poor judgment nyingine ya viongozi wa vyama vya upinzani.

2. Kuchukua viti maalumu hakuzuii chama kuendelea na mapambano yake yoyote yale. Chama bado kinaweza kupinga mahakamani matokeo ya uchaguzi kwenye majimbo na kata zote ambako wagombea wake walishindwa uchaguzi.

3. Kufikiria kwamba, kwa kususia viti maalumu, Tanzania itakuwa na general election do over ni uzembe mkubwa wa kufikiri. Kama Bob Amsterdam, Lissu’s foreign political mercenary, ameiambia CHADEMA kwamba kuna jumuiya ya kimataifa inayoweza kushinikiza nchi fulani kufuta matokeo ya uchaguzi wake na kufanya uchaguzi mwingine, amekidanganya chama mchana kweupe. National elections zinafanywa kwa mujibu wa sheria za nchi husika. Michakato ya kufuta matokeo ya uchaguzi nayo lazima ifanyike kwa kufuata sheria hizo hizo na mahakama za nchi husika. Hakuna international law inayoweza kutumika badala yake!

4. Kufikiria kwamba kugomea viti maalumu kutasaidia kuzishawishi jumuiya za kimataifa kuiwekea nchi vikwazo ni uzembe mwingine mkubwa wa kufikiri. I am not aware of any country that was slapped with economic and other sanctions because of election disputes. Hata kama hilo lingewezekana, effectiveness ya huo mkakati ni questionable. Ipo mifano mingi ya nchi ambazo zimeishi na vikwazo vya kimataifa kwa miaka kumi, ishirini. Nina uhakika Tanzania pia haiwezi kukubali kuacha kusimamia uhuru wake na sovereignty yake ili kutimiza matakwa ya mabeberu. So, if Tanzania weathers a five-year economic sanctions period, for example, how does that help resolve the 2020 election dispute?

Politics ni art ambayo haihitaji hasira. Viongozi wetu wa vyama vya upinzani inabidi wajifunze kuucheza huu mchezo bila kuumiza vyama vyao. A safe strategy ni kuchukua chochote kinachopatikana immediately kisha unaendelea kupambana kukitafuta kile kinachoweza kupatikana baadaye. Kwa kuwa viongozi hawasaini settlement agreement na mtu yeyote ambayo itawafanya washindwe kuendelea na mapambano, hakuna sababu ya kuwa na misimamo duni kama hii ya kususa na kufanya migomo.
Swali jepesi kwako ulishawahi ona wapi Fisi akijaribu kuzuia Msiba wa Swala usitokee? Nilitegemea CCM wawe kwanza kushangilia Chadema kutoteua hao wabunge kama kweli andiko lako lingekuwa na mantiki. Sasa badala yake CCM ndio wamejigeuza Kamati ya Chadema unadhani kwanini wamefanya hivyo na bado hata baada ya kufukuzwa wanakazania wandelee na ubunge wako?
 
Ongezeko la wabunge halikuletwa na kususa na kufanya migomo. Wabunge walikuwa wakiongezeka kwa sababu ya agenda mliyoisimamia hadi kufikia katikati ya mwaka 2015. Tangu mlipobadili gia angani, chama kimeingia rasmi kwenye rollercoaster kujifuta kutoka kwenye electoral map.

Madai ya kudhulumiwa ushindi yanatoka kwenye playbook ya narcissists ambayo hata Trump anaitumia. Huo ni utamaduni wa narcissists wote popote walipo!
Unakosea sana kulinganisha Trumpism na siasa za upinzani za hapa kwetu. Marekani kuna maafisa wa uchaguzi ambao ni Republican, Trump kajaribu kuwatongoza wafanye kile ccm ya Magu inafanya hapa, wamemgomea. Kuna yule Jaji aliyetupilia mbali rufaa za Trump, wakati ana mrengo wa Republican.

Kule US, huoni polisi wakimsaidia Trump, wakati hapa kwetu Bashiru anadiriki kutamka wazi kwamba ccm ina haki ya kutumia dola kubaki madarakani. Hiyo ni kinyume kabisa ya utawala wa Demokrasia, ambapo ridhaa ya wananchi ndio ufunguo.

Magufuli ametamka wazi kwamba hatarajii msimamizi wa uchaguzi aliyemteua yeye, na kumpa gari, amtangaze mpinzani kuwa mshindi

Baada ya kuona support kubwa ya watanzania kwa Lissu, Samia Suluhu alidiriki kutamka hadharani kwamba vyovyote watakavyopiga kura, ccm lazima iwe mshindi.

Ukiangalia idadi kubwa ya wagombea wa upinzani walivyoenguliwa, wakati ccm hakuna hata mmoja, sielewi unatumia hoja zipi, kama sio propaganda za kina polepole.

Umekiri kwamba upinzani wameongeza wingi wao consistently, wakati hoja zako mwanzoni ulikuwa unaongea vinginevyo. Kama watanzania wangepinga hiyo "gia ya angani", CHADEMA wasingepata hiyo idadi kubwa kabisa ya wabunge na madiwani, kiasi kwamba miji mikubwa yote ikawa chini ya CHADEMA . Inaonekana hata hujui unaongea nini
 
You seem to be in undeniable state...

Why don't you access yourself and accept that you wrote nothing that can be opposed..?

The argument you posted is itself opposing. That's what I have been telling you in all of my comments..

No one can oppose anything in something which has no substance at sametime opposing itself...!!

Kwanini unajilazimisha kuandika katika lugha ambayo ni dhahiri huwezi kuitumia kwa ufasaha kuwasilisha kile ulichokusudia kuwasilisha?
 
Mimi inaniwia vigumu sana kuamini kwamba viongozi wa vyama vyetu vya upinzani wana uwezo wa kujifunza kutokana na makosa yao ya nyuma. Wangekuwa na huo uwezo, leo hii CHADEMA wasingekuwa wanajiuguza majeraha makubwa yaliyoletwa na dhoruba la Viti Maalum vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Sio siri, kufukuza makada waandamizi 19 ni msiba mkubwa sana kwa chama, ambao haukuwa wa lazima!.

CHADEMA ilipaswa kuteua Wabunge wa Viti Maalum mapema iwezekanavyo na kulimaliza hilo swala kwa amani. Mkakati wa kugomea Viti Maalum ni 'Political Maneuver' ambayo haikuwa na tija yoyote, kwa sababu kadhaa:

1. Historically, vyama vyetu vya upinzani vimewahi kususia mambo mengi na kufanya migomo ya aina mbalimbali, ambayo matokeo yake sote tunajua yalikuwa ni hasara zaidi kuliko manufaa kwa upinzani. Mifano ni mingi sana, lakini nitataja miwili tu mikubwa. Kwanza, mwaka 2015, Maalim Seif alisusia uchaguzi wa marudio Zanzibar akiamini kwamba kuna siku angepewa ushindi wa mezani na kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar.

Alisubiri mpaka muda wa uchaguzi mwingine ukafika bila kupewa ushindi wa mezani kama ndoto yake isiyokuwa na mbele wala nyuma ilivyomtuma. CUF paid a heavy price kwa sababu ya poor judgment ya viongozi wake. Pili, mwaka 2019, wapinzani walisusia uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Matokeo yake, CCM swept all seats. Hiyo ilikuwa poor judgment nyingine ya viongozi wa vyama vya upinzani.

2. Kuchukua viti maalumu hakuzuii chama kuendelea na mapambano yake yoyote yale. Chama bado kinaweza kupinga mahakamani matokeo ya uchaguzi kwenye majimbo na kata zote ambako wagombea wake walishindwa uchaguzi.

3. Kufikiria kwamba, kwa kususia viti maalumu, Tanzania itakuwa na general election do over ni uzembe mkubwa wa kufikiri. Kama Bob Amsterdam, Lissu’s foreign political mercenary, ameiambia CHADEMA kwamba kuna jumuiya ya kimataifa inayoweza kushinikiza nchi fulani kufuta matokeo ya uchaguzi wake na kufanya uchaguzi mwingine, amekidanganya chama mchana kweupe. National elections zinafanywa kwa mujibu wa sheria za nchi husika. Michakato ya kufuta matokeo ya uchaguzi nayo lazima ifanyike kwa kufuata sheria hizo hizo na mahakama za nchi husika. Hakuna international law inayoweza kutumika badala yake!

4. Kufikiria kwamba kugomea viti maalumu kutasaidia kuzishawishi jumuiya za kimataifa kuiwekea nchi vikwazo ni uzembe mwingine mkubwa wa kufikiri. I am not aware of any country that was slapped with economic and other sanctions because of election disputes. Hata kama hilo lingewezekana, effectiveness ya huo mkakati ni questionable. Ipo mifano mingi ya nchi ambazo zimeishi na vikwazo vya kimataifa kwa miaka kumi, ishirini. Nina uhakika Tanzania pia haiwezi kukubali kuacha kusimamia uhuru wake na sovereignty yake ili kutimiza matakwa ya mabeberu. So, if Tanzania weathers a five-year economic sanctions period, for example, how does that help resolve the 2020 election dispute?

Politics ni art ambayo haihitaji hasira. Viongozi wetu wa vyama vya upinzani inabidi wajifunze kuucheza huu mchezo bila kuumiza vyama vyao. A safe strategy ni kuchukua chochote kinachopatikana immediately kisha unaendelea kupambana kukitafuta kile kinachoweza kupatikana baadaye. Kwa kuwa viongozi hawasaini settlement agreement na mtu yeyote ambayo itawafanya washindwe kuendelea na mapambano, hakuna sababu ya kuwa na misimamo duni kama hii ya kususa na kufanya migomo.
Swali la kizushi kwako,vipi kama nikakupa pesa nyingi kabisa, ila kwa sharti la kutoa uhai wako. upo tayari?
 
Swali jepesi kwako ulishawahi ona wapi Fisi akijaribu kuzuia Msiba wa Swala usitokee? Nilitegemea CCM wawe kwanza kushangilia Chadema kutoteua hao wabunge kama kweli andiko lako lingekuwa na mantiki. Sasa badala yake CCM ndio wamejigeuza Kamati ya Chadema unadhani kwanini wamefanya hivyo na bado hata baada ya kufukuzwa wanakazania wandelee na ubunge wako?

Nadhani unachanganya maada! Umeielewa vizuri maada iliyopo mezani?
 
Unakosea sana kulinganisha Trumpism na siasa za upinzani za hapa kwetu. Marekani kuna maafisa wa uchaguzi ambao ni Republican, Trump kajaribu kuwatongoza wafanye kile ccm ya Magu inafanya hapa, wamemgomea. Kuna yule Jaji aliyetupilia mbali rufaa za Trump, wakati ana mrengo wa Republican.

Kule US, huoni polisi wakimsaidia Trump, wakati hapa kwetu Bashiru anadiriki kutamka wazi kwamba ccm ina haki ya kutumia dola kubaki madarakani. Hiyo ni kinyume kabisa ya utawala wa Demokrasia, ambapo ridhaa ya wananchi ndio ufunguo.

Magufuli ametamka wazi kwamba hatarajii msimamizi wa uchaguzi aliyemteua yeye, na kumpa gari, amtangaze mpinzani kuwa mshindi

Baada ya kuona support kubwa ya watanzania kwa Lissu, Samia Suluhu alidiriki kutamka hadharani kwamba vyovyote watakavyopiga kura, ccm lazima iwe mshindi.

Ukiangalia idadi kubwa ya wagombea wa upinzani walivyoenguliwa, wakati ccm hakuna hata mmoja, sielewi unatumia hoja zipi, kama sio propaganda za kina polepole.

Umekiri kwamba upinzani wameongeza wingi wao consistently, wakati hoja zako mwanzoni ulikuwa unaongea vinginevyo. Kama watanzania wangepinga hiyo "gia ya angani", CHADEMA wasingepata hiyo idadi kubwa kabisa ya wabunge na madiwani, kiasi kwamba miji mikubwa yote ikawa chini ya CHADEMA . Inaonekana hata hujui unaongea nini

Najua unaongea kwa nia nzuri, lakini nadhani unachanganya vitu na wakati mwingine unajikuta ukijaribu kuhamisha mjadala.

1. Kama Lissu alivyo tofauti na mifumo ya Tanzania, Trump naye ni tofauti na mifumo ya Marekani. Hapa hatuongelei integrity ya mifumo ya Marekani. Nimemuingiza Trump hapa kuonesha kwamba kuna watu duniani ambao wao wanadhani they’re too good to flunk anything (to lose an election in this case). Hata kama uchaguzi ungesimamiwa na malaika wa Mungu, bado wangedai kwamba wamedhulumiwa ushindi wao. Hii ndiyo moja ya traits zinazowafanya Lissu na Trump wawe kwenye club moja!

2. Mimi ninaongelea effectiveness ya mikakati ya kususa na kufanya migomo. Mwaka 2015, Maalim Seif, kwa mfano, alisusia uchaguzi wa marudio akishinikiza atangazwe mshindi wa uchaguzi iliofutwa, kisha aapishwe kuwa Rais wa Zanzibar. Mfano wa pili ni uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019 ambao vyama vya upinzani viliususia kushinikiza mchakato wa uchaguzi urudiwe. Sasa maswali yangu kwako ni mawili: (i) Je, Maalim Seif alitangazwa mshindi wa uchaguzi uliofutwa, na kisha kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar, kama alivyokuwa akishinikiza? (ii) Je, mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 ulirudiwa, kama wapinzani walivyokuwa wakishinikiza? Majibu ya maswali yote mawili sote tunayafahamu kuwa ni an unambiguous “No”! Na hii ndiyo sababu inayonifanya mimi niseme kuwa mikakati ya kususa na kugoma ni mikakati ya kutwanga maji kwenye kinu!
 
Kauli hizi ni za kipumbavu sana, huyo ambaye unaniona hayamuhusu ya Chadema leo ikifika wakati wa kampeni unasema ipigie kura CHADEMA...!!!
Naye atasema waipigie wanahusika nayo.. yaani wakereketwa na WANACHAMA afu tuone Kama kura zitatosha..
Tambua chama ni mali ya umma na wanakula ruzuku ya serikali ambayo ni KODI anayokatwa KILA raia hata mwanaccm na wasio na vyama..
Kama vip hata taarifa zake msituletee humu JF pelekeni huko WhatsApp, telegram..
Whatsup na Telegram ndiyo social media za Chadema? Au umeamua upigie kelele tu zisizo na faida. MATAGA mnakera sana
 
Najua unaongea kwa nia nzuri, lakini nadhani unachanganya vitu na wakati mwingine unajikuta ukijaribu kuhamisha mjadala.

1. Kama Lissu alivyo tofauti na mifumo ya Tanzania, Trump naye ni tofauti na mifumo ya Marekani. Hapa hatuongelei integrity ya mifumo ya Marekani. Nimemuingiza Trump hapa kuonesha kwamba kuna watu duniani ambao wao wanadhani they’re too good to flunk anything (to lose an election in this case). Hata kama uchaguzi ungesimamiwa na malaika wa Mungu, bado wangedai kwamba wamedhulumiwa ushindi wao. Hii ndiyo moja ya traits zinazowafanya Lissu na Trump wawe kwenye club moja!

2. Mimi ninaongelea effectiveness ya mikakati ya kususa na kufanya migomo. Mwaka 2015, Maalim Seif, kwa mfano, alisusia uchaguzi wa marudio akishinikiza atangazwe mshindi wa uchaguzi iliofutwa, kisha aapishwe kuwa Rais wa Zanzibar. Mfano wa pili ni uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2019 ambao vyama vya upinzani viliususia kushinikiza mchakato wa uchaguzi urudiwe. Sasa maswali yangu kwako ni mawili: (i) Je, Maalim Seif alitangazwa mshindi wa uchaguzi uliofutwa, na kisha kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar, kama alivyokuwa akishinikiza? (ii) Je, mchakato wa uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 ulirudiwa, kama wapinzani walivyokuwa wakishinikiza? Majibu ya maswali yote mawili sote tunayafahamu kuwa ni an unambiguous “No”! Na hii ndiyo sababu inayonifanya mimi niseme kuwa mikakati ya kususa na kugoma ni mikakati ya kutwanga maji kwenye kinu!
Ahsante sana kwa ufafanuzi wako. Nimefurahi pia kwamba sasa uko more objective, and precisely to the point. Hoja unazoleta ni za msingi kabisa.

Kisiasa, mtu anapopinga jambo fulani, sio lazima anakusudia apate atakacho. Kuna sababu nyingi, mojawapo ni kuweka kumbukumbu sawa, kwamba hakubaliani na mchakato uliofanyika. Chukua mfano wa huo "uchaguzi" wa serekali za mitaa wa 2019 ambapo kulikuwa na uvurugaji mkubwa wa "instruments of democracy", ambao nimeufananisha na kile Trump anafanya huko Marekani, sema mazingira ya huko yanambana, tofauti na hapa kwetu.
Kama wapinzani hawangefanya aina yoyote ya "protest", au wangeipongeza ccm na serikali kwa "usimamizi" mzuri na huo "ushindi" wa "kishindo", kama walivyofanya vile vyama 9 vya "upinzani", sidhani vingeendelea kuwa na credibility ya vyama makini.

Hata bungeni. Mbunge anapopinga bajeti, anakuwa ameona mambo ambayo hakubaliani nayo. Hutokea kwamba miaka kadhaa Baadae ikadhihirika kwamba kulikuwa na makosa, wale waliopinga ndipo watakuwa vindicated.

Huwa kuna consequences za misimamo kama hiyo. Mfano kwa Maalim Seif, kuna wakati inaundwa serikali ya umoja wa kitaifa, GNU , misimamo yake ilisaidia, Zanzibar ikapitia kipindi bora kabisa. Misimamo ya mtu au chama au Taasisi, ndio inamdefine, na public inamwelewa hivyo. Kuna siku itatokea political climate itakuwa linganifu na favourable. Principles ni muhimu sana. Unasimamia kiru gani? Siyo lazima ufanikiwe leo.
 
Back
Top Bottom