Kaka nimekushukuru kwa msaada wako ,sana tena sana ,na mungu aendelee kukubariki ,na namba yako nimeisave kuna siku shukrani yangu utaipata
Ahsante ,hata kama huamini siku ukiwa dodoma tunaweza kuonana uzuri mawasiliano ninayo (sijajua nini ila tu nafsi iligoma kabisa nilikuwa sina sababu...