Recent content by SOFASHAKA

  1. S

    Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Hata mimi imenitokea hiyo jana, muhudumu alimwambia mwenzake mpelekee yule baba glas ya wine, nikajua tayari uzee huo unakuja!
  2. S

    Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

    Pia kama anatumia vinywaji baridi sana aache, na mwambie asubuhi kabla hajala chochote anywe maji vuguvugu yenye tangawizi na limao au ndimu.
  3. S

    Ushauri ushauri Kuhusu RAV4 1st Gen aka Mkulima

    Kilitime manual zipo ila ni chache sana, nyingi ni kwa soko la UK na US
  4. S

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Wanashauri nzuri ni za kuanzia mwaka 2015 na kuendelea
  5. S

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Kwa muonekano ni gari nzuri, wanawake wengi wanazipenda
  6. S

    Bajeti ya 12m napata gari gani?

    Awe makini tu nyingine wamezipiga rangi ila zina matatizo kibao kwenye engine
  7. S

    Men stop dating liability

    Hayana aibu kabisa, nimewahi kukutana na wa aina hiyo
  8. S

    Chapati ya Kichina, mmea unaoishi kwenye maji, Kombucha/tea mushroom

    Tumeutumia sana huo mmea tulipokwa wadogo, nimekuwa nikiutafuta kwa muda mrefu bila mafanikio
  9. S

    Ipi ni 'sexual fantasy' yako?

    Threesome huwa zinatokea automatically hasa mkiwa tungi, ukizitafuta ni ngumu sana kuzipata mademu wengi wanakataa
  10. S

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Sio kweli mkuu, ila kuna maeneo inahitaji ukarabati kutokana na athari ya mvua za mwaka jana na juzi, kuna kipande cha kutoka Somanga mpaka Mbwemkulu, na maeneo ya Mtama na Nyangao
  11. S

    Mrejesho wa Safari yangu ya Dar Kigoma na kurudi Dar. Nimetumia mafuta ya Tsh 230,000/= tu!

    Njia ya kusini, Lindi - Masasi - Tunduru iko vizuri ingawa ni ndefu kidogo kutokea Dar
Back
Top Bottom