vita mwezi wa saba huu bado haijulikan itaisha lini halafu utokee upande unadai kwake mambo ni fresh ukiamin utakua umependa kudananywa, kila upande unalipa ghara kubwa sana kwenye vita hii, ukraine inalipa gharama kubwa zaidi lkn kwakuwa imejumuisha na raia wengi kwe vikosi vyake hivyo wanakuwa...
ni kweli huwa hawaandiki vizuri kabisa but huwaita madikteta au wauaji, but hii ya kuwish soething even after death duh hii kali but huwez laumu sana maana wasouth wamepitia magumu mpk juzi hapa so wengi still wana memories
kutumia standards za civilization ya leo kuhukumu killichotokea miaka 100 iliopita ni aina flani ya ujinga, ndio maana tuko busy kulalamika kuwa wakoloni walitubia walitunyonya wakati mabara mengine ambayo yalitendewa hivyohivyo walishamove on wakapiga maendeleo, kila mtu anajua wakoloni...
yeah sema sema uzuri wa kitu ni mtazamo wa mtu, pia issue ya simu au pc inategemea na matumizi ya mtu ni yapi hayo ndio sometmes yanafanya mtu aone hiki kinatsha au hakitoshi,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.