Wantanzania tunakosea kabisa.Ule msafara ulikuwa halali kuzuiliwa kwenda kwenye Mazishi.Lowassa amekuwa kiongozi wa mda mrefu katika nchi hii na ameudhuria misiba isiyokuwa na idadi.HAKUWAHI KWENDA NA BODABODA 600 KAMA ILIVYO JANA.ANAZIFAHAMU FIKA KUWA SIO TARATIBU.Hata mheshimiwa JK,HAKUFANYA...
POLITICAL PROSTITUTES COULD BE THE RIGHT WORD FOR HIM.Thank so much for the word PASCO. YOU HIT THE BULL AND ENOUGH.THANK YOU FOR TELLING HIM THE TRUTH
Kitu kizuri nampongeza nyalandu namwona kama mtu ambaye anaweza kazi ya uchungaji kuiombea nchi amani.Ila urais HAWEZI MANA NIKAMAVILE SIJAONA SEHEMU AMEZUNGUMZIA VIPAO MBELE,UCHUMI.AMEONGEA KIJUMLAJUMLA.
Ndugu yangu mwanakijiji,nakushauri uwe na contents zakitaifa zaidi kuliko kuwa kama mwanachama wa chama flani.Mimi binafsi sioni Tatizo kwa lowassa na chama chake.Hakuna chama ninachokiona kama kina manatatizo bali niwatu walio ndani ya vyama hivi,Nawapo tu katika kila chama.SWALA LAMSINGI...
wadau nina swali! Kwanini watu waogope sheria ya mitandao kama nia yao nikutenda mema tu? Mana kama mtu yuko safi hatakiwi kuwa na hofu mana atafuata sheria nasio tofauti.nawasilisha
Sitaki kumsifia Pasco,kwasababu ya interest ya chama ninachokipenda,au urafiki wangu naye"Hatujawahi kutana na wala simfahamu" Lakini pasco is intelligent parson.Nakama wengi tungekuwa kama Pasco pengine Tungeona mwelekeo wataifa hili kwa upeo mpana sana.We always take everythings for granted...
MLETA MADA NDIO NAONA HANA SKILLS ZAKUTOSHA,MANA KWANZA Makinda ANA ADV DIPLOMA AMBOYO NI EQUIVALENT TO DEGREE,ANA UZOEFU WAKUTOSHA.Katiba inasema uwe unafahamu k3.Kuna wabunge wengi hawana Taaluma hata sekondari mfano Lema ana form two,Sugu amefeli form4,Sendeka na Mbowe six wamefeli,Lusinde...
Ni jambo jema kutoa maoni yako na Hongera sana.Ila kosa lako nikwamba unatumia hisia za kichama nakuwadhalilisha DR.Bana na Mkumbo."Hapa naona umepotoka" Kama wewe binafsi hupendi michango yao baki kama wewe.Kuna watu wengi tu wanawakubali Ma Dr.Hawa kwa michango yao,Heshima zao pamoja na Usomi...
Kweli Pengo Ni kiongozi mwenye maono ya mbali.Kwa kweli ameongea ukweli mtupu.Kwanini uwakateze watu jambo angali watu wanaweza soma nakusema ndio au hapana wao wenyewe? Je siku ikapita Maaskofu hao wataficha nyuso zao wapi? Pengo hayuko upande wowote ila maoni yake yanamwanga kuliko giza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.