Kila mtu na chake na anachokiamini kwa kuwa cha mtu akimsaidii kitu.
Kama wewe unanunua hisa kila mwezi za mil 100 bado sio sababu yakumdharau bodaboda anayeweka 200,000 kwa mwezi.
Haya ni majungu na umbea wenu kwa mnaohoji maisha ya wanaume wenzenu.
Yeye kuweza kujitunzia na kushindwa bado...
Inabd kutizama hiyo frem ya 900,000 hii bure baada ya miezi sita ni kiini macho.
Hapa sema frem iko wapi na ina ukubwa gani. Biashara yakuweza kulipa kodi 900k sio mchezo
Mahusiano na Ndoa naona kama ni ngumu sana kwa mwanaume umri chini ya miaka 30....
Weka nguvu zako kujijenga zaidi japo ni vigumu sana maana ndio mda tamaa zinakuandama na maamuzi ya kupingana nazo ni madogo.
Kwakuwa unataka kuoa ngoja nikukumbushe kuwa dunia hii na asili ya uumbaji sio ya...
Kula yake inategemea kazi hiyo... Maisha ya hivyo hayapo popote kwasababu ni ya kufikirika.
Ikitokea mpenzi au mke wako akaunga hoja mwambie kuanzia leo utamlipa na vigezo na mashafti kuzingatiwa na mkataba wa ndoa ya milele uvunjwe na muanze mkataba wa mwaka 1 mbao utakuwa unarenew kila mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.