Mi ninalo nauza Ila lipo machemba jirani na kilapula.
Njia kuu ya kuingilia ni idara ya maji ni km Moja na nusu kutoka lami na maji na umeme vipo karibu. Heka zipo tano kila heka million tano. Eneo limepimwa sababu nilinunua kwa ajili ya utanuzi wa shule yangu Ila nilipohama kikazi na wazo...
Mimi ninapomkosea mtoto wangu huwa namuomba msamaha na kumpa hugs za kutosha hadi nyongeza. Likewise akinikosea huniomba msamaha na kuhakikisha nimecheka kabla hajaendelea na mishe nyingine. He is just four years and saying sorry to each other is our life style.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.