Recent content by snowhite

  1. snowhite

    Ninaishi na maumivu

    Naweza kusoma maumivu yako kwa kweli. Hata sijui naandika nn! Najua haya maumivu
  2. snowhite

    Ninaishi na maumivu

    Dah!!
  3. snowhite

    Ninaishi na maumivu

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Oh Eve.
  4. snowhite

    Mrejesho: Baada ya kumpa kibano cha maana amekubali kuwa walishaga mnanilii tokea sekondari😥

    Mwambie dadake au wazazi Dogo atakumwagia nzi muda si mrefu atasema unamkula.
  5. snowhite

    Kukulana mchana vs kukulana usiku

    Wakati wote ni wakati wa chai!
  6. snowhite

    Niko Njia Panda: Namchumbia msichana mwenye mtoto lakini kwetu sitaki wajue ana mtoto

    Kwa hiyo mtaendelea kumficha huko mbeya kiasi wazazi wako wasijue! Na hauko tayari watu wajue kuwa umeoa mwanamke mwenye mtoto! Utaficha mpk lini?
  7. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    sasa nje si hela ndo inakuwa kubwa mana hewa ni nyingi so ntalipia kuvuta hewa nyingi!
  8. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Niiipo kipenzi. Napitamo pitamo. umepotea pia, nimefurahi kukuona lovie
  9. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Af hata unafkri tunamaanisha! Ni mradi tu tuwape hekaheka basi tu nyumba ichangamke! wanawake sisi miyeyusho sana! Mtuzoee tu jamani, sasa sisi tukiwa wakimya kama nyie itakuwaje? Mi kuna muda huwa tu nasikia raha kuongeaa weeee! mtu anisikilize tu hata kama i dont make sense! Si unisikilize...
  10. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    si unaona nimejikosoa mwenyewe hapo chini! Sio kitu tumezoea mtu kuwa kimya na asiwe anamean any harm anataka tu fikra zake binafsi! Nakuelewa!
  11. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    si baba yuko nyumbani! Needs extra care. Kuna sijui chai ya baba, sijui baba kamwita sijui baba anasema uende mara moja, na ile tu Dume lako liko nyumbani obvious utataka kukaa pembeni.
  12. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Communicate! Mawasiliano yakiwa mapema yenye clarity sidhani kuna mtu anataka migogoro iso na msingi ndani kwake! So pengine hajui unapitia nn! Au weka hata 10,00 mezani isort some stuffs za hapa na pale ajue tu ipo! We kaa zako kimya mwambie u need some quite time Sema kibongo bongo tunajuaga...
  13. snowhite

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Then kuna mahali hamzungumzi vitu vya msingi! Lakini kwanini mnataka kuishi na wanawake kama vile mnaishi na wanaume wenzenu majumbani kwenu? Mwanamke kwa asili anaongea tu! Ogopa mwanamke ambaye hazungumzi. Au alikuwa anazungumza akagundua unampuuza akaamua kunyamaza! Sijui lakinI! kila mtu...
Back
Top Bottom