Huwa inatokea mwanaume kum-admire mwanaume mwengine, na ni kawaida

Huwa inatokea mwanaume kum-admire mwanaume mwengine, na ni kawaida

Saa 5 asubuhi ya leo uzirudishe pumbu zetu uzikabidhi kwa mwenyekiti wa chama cha wanaume
 
Kuna kitu wanaume huwa hawa admit mana wanaona kukubali hii ni kama sio urijali, ila unaweza ukatokea tu unamkubali jamaa fulani naturally, labda ukimuona au kumsikia, haimaanishi kwamba wewe sio lijali, i upendo tu wa kawaida ad natura one.

Kwa wadada wao hawafichi mana katika jamii hiwezi kuleta picha yoyote tofauti.

Mi niiwahi kumkubali public figure fulaini, vile tu anavyoongea basi, ila kadri nilivyokua nikimsikiliza aadae nikawa naona kawaida tu. waongo watabisha.
Duh kwa dume ungetumia LAUD, APPRECIATE, COMMEND, RESPECT, ESTEEM etc etc mdau..
Otherwise manjemba tunastuka mdau!
šŸ¤”šŸ˜”šŸ’­
 
Kuna kitu wanaume huwa hawa admit mana wanaona kukubali hii ni kama sio urijali, ila unaweza ukatokea tu unamkubali jamaa fulani naturally, labda ukimuona au kumsikia, haimaanishi kwamba wewe sio lijali, i upendo tu wa kawaida ad natura one.

Kwa wadada wao hawafichi mana katika jamii hiwezi kuleta picha yoyote tofauti.

Mi niiwahi kumkubali public figure fulaini, vile tu anavyoongea basi, ila kadri nilivyokua nikimsikiliza aadae nikawa naona kawaida tu. waongo watabisha.
We nae hem Qaazwa ni Peace.

T
 
Back
Top Bottom