Hizi habari ziko confirmed.moja ya ccm chopper imeanguka na kuungua moto majira ya saa moja usiku huko Selous.Waliofika hawajaona mtu wa kumwokoa,ilikuwa tayari usiku.Kuhusu nani na nani alikuwemo tusubiri asubuhi.Ila inasemekana ni Helicopter iliokodiwa na Deo kutoka Kenya.Ccm wana chopper kama...
Kaa nae chini,kila mtu asimulie mwenzie past life yake bila kuficha kitu.Muulize maswali yako yote na uondoe dukuduku lako.Kama atakuwa muwazi nashauri endelea nae na mipango yako.Ila kama bado anapiga kona kona...tafakari chukua hatua...Maana watu wote wanao oa hamna bikra watu wamepita mikato...
Hayo magorofa hata bakheresa anaweza kujenga akiamua.serikali lazima ishughulikie projects za miaka 50 au 100.projects za vinyumba serikali haiwezi kupongezwa.Jengeni reli first grade nchi nzima projects kama hizo.Maji salama nchi nzima....Dar tu imeshindikana kwa miaka 50 sasa.
Mambo wana Jamvi
Eti nielewesheni,baada ya kupiga kura kwenye vituo vyetu,majibu yatabandikwa/kutangazwa isipokuwa matokeo ya uraisi.Kama ndo hivyo ni kwa nini?Na hairuhusiwi mtu kujumlisha kura za uraisi.
Maana najua ukienda baa na kupiga masanga baa medi either akuibie horizontal ama...
Karibuni Wana Jamvi waliopata ajali hii.Siku izi VVU ni kama magonjwa mengine ambayo yanaitaji kuwa kwenye dawa through out your life.Kwangu binafsi magonjwa ambayo nayaogopa yanatisha kuliko ni Cancer na Kisukari.ingawa ukiwa na VVU usipokuwa makini basi kisukari na hata cancer unaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.