Recent content by Snipperkilungu

  1. Snipperkilungu

    Kamanda Mambosasa ampongeza Mange Kimambi, asema amerudi kundini

    Haaa yajayo yanafuraisha kwaiyo baada ya polisi ccm kuandamana wameamua kumpongeza mange
  2. Snipperkilungu

    Yahusu kufuta kauli

    Nchii yii ni ya kipumbavu sana
  3. Snipperkilungu

    Biashara hizi zinashamiri mtandaoni kwa kasi.

    Mambo ya kitoto ayo peleka facebook
  4. Snipperkilungu

    Kuapishwa kwa majaji Ikulu: CAG mbele ya Rais Magufuli, akanusha Shilingi trilioni 1.5 kuibwa/kupotea

    Wameshambinya kolodani tanzania sio nchi salama ukiwa msema kweli shida uzalendo ni kufumbia macho madudu anayofanya raisi 1.5 aijulikani
  5. Snipperkilungu

    Wanafunzi walishwa kinyesi na mkojo chuo kikuu Msumbiji katika hafla ya kuwakaribisha chuoni

    Sherehe ya kuwakaribisha wanafunzi wapya katika chuo kikuu cha Msumbiji imezua hisia kali baada ya picha kusambazwa katika mitandao ya kijamii zikioinyesha wanafunzi hao wanavyolazimishwa kunywa na kuoga mikojo na kinyesi. Kulingana na mwandishi wa BBC Jose tembe mjini Maputo, baadhi ya...
  6. Snipperkilungu

    Uzalendo ni nini?

    Uzalendo ni kuiba mali za umma na kujibinasfisha
  7. Snipperkilungu

    Picha: Huyu ndiye mke wa Ali Kiba

    Noma aana
  8. Snipperkilungu

    Ujumbe huu umeniliza bila kujua kuwa nalia nini!!

    Babu mmoja aling’ng’ania kwenda mjini kwenye harusi ya mjukuu wake, pamoja na hali yake ya kiafya kuwa mbaya lakini alitaka hivyo. Alihudhuria na siku ya harusi baada ya sherehe alimuomba mjukuu wake aongee naye kabla hawajaenda honeymoon. Watu walitaka asubiri kwanza lakini aliwaambia hapana...
  9. Snipperkilungu

    Msaada: Majina ya kiume na ya kike yanayoanzia na J

    Josephat Jaffet Jong hoo kqang
Back
Top Bottom