Good Father
JF-Expert Member
- Feb 28, 2014
- 10,320
- 18,599
Sina mengi ila nazidi kushangazwa namna watu wanavyopigania ufalme wa Shetani.
Hakuna aibu tena, watu wameamua kuweka ufusika wao hadharani.
Nafahamu watu tunafanya maovu ila sio kwa staili hii, tumekosa soni kabisa, watu hawajifichi wala kuhofia lolote.
Facebook ndo kimekua kituo kikuu Cha mambo haya ya ajabu.View attachment 750781
Hakuna aibu tena, watu wameamua kuweka ufusika wao hadharani.
Nafahamu watu tunafanya maovu ila sio kwa staili hii, tumekosa soni kabisa, watu hawajifichi wala kuhofia lolote.
Facebook ndo kimekua kituo kikuu Cha mambo haya ya ajabu.View attachment 750781