Recent content by Snglfrj

  1. S

    Mikoa 5 Tajiri Tanzania na Mikoa 5 maskini zaidi Tanzania 2020

    Ahsante kwa taarifa mtoa mada,ila GDP haiusiani na standard ya maisha,Kwa mfano hali ya maisha ya watu wengi wa mbeya ni nzuri kuliko iringa ila kwenye list iringa ipo juu ya mbeya,naiishi hii mikoa miwili so naijua,mfano mwengine ukitazama GDP ya china ni kubwa kuliko ya Wingereza(UK) lakini...
  2. S

    Kwanini ngumu kusikia Mauaji ya wanandoa Zanzibar kama Bara

    Cha kwanza ni mfumo dume,pili ni ukosefu wa elimu na tatu ACHA UDINI maana nchi zinazoongoza kwa kustaraabika,maendeleo,tech etc sio za kiislam
  3. S

    Kwanini pesa ndo itawale Dunia kuliko akili?

    Pesa ndio medium of exchange,kwaiyo chochote unachohitaji kama n material,pesa ndio itahusika,unapohitaji chakula,mavazi,makazi,matibabu n.k pesa ndio inahitajika. Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  4. S

    Mkeo ni mzazi wako

    Atakuwa amenisaidia kufwata nyendo za kristo Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  5. S

    Mkeo ni mzazi wako

    Asipoufanyia kazi huu ushauri asije kutusumbua kuomba ushauri badae Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  6. S

    Mkeo ni mzazi wako

    Huwa nazisisimua chuchu zake tu sio kunyonya maziwa yake,mamaangu ndio alikuwa ananinyonyesha Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  7. S

    Mkeo ni mzazi wako

    Mtoa mada usimfananishe mama yangu na mtoto wa mamamkwe Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  8. S

    Waislamu wanatubeba sana!!

    Habari zenu wakuu,hivi kiujumla duniani katika utajiri,michezo,umaarufu,elimu,teknolojia ni wapi wanaongoza? Mfano kwa uchumi kuna Elon Musk,Jeff Bezos, Bill gates etc,kitechnology ni nchi za kikristu mfn USA, German, UK,etc,kimichezo Wingereza, Brazil, USA etc,pia wanasayansi wakubwa ni kina...
  9. S

    Waislamu wanatubeba sana!!

    Mtoa maada chunga sana hizi maada zenye mgawanyiko wa kidini,kikabila,rangi n.k Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  10. S

    Wanawake wa kingoni kutoka Songea wanasifa gani?

    Kwa uzoefu nilionao mimi juu ya mabinti 17 wakingoni niliosex nao ni huu,kitandani wanajua sana sana sana,ni kwamba kama unajua mnaenda sex,pitia pharmacy nunua plasta mapema maana hayo mauno anaweza kuvunja mguu wako wa kati,mengine kuwahusu siyajui. Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  11. S

    Car diagnostic solutions

    Mkuu samahani,kwa kijana anaependa ufundi magari kwa wakati huu,unamshauri akajifunze kipi hasa kulingana na soko la kujiajiri kati ya umeme wa magari au mechanical? Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  12. S

    Kwanini magari aina ya Nissan yanasumbua mafundi kwenye matengenezo?

    Ni ufundi upi mzuri unaoendana na magari ya kisasa na vyuo gani vinafundisha hapa tz kwa ngazi ya diploma? Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  13. S

    Mashine za rangi za kucha

    Zote mkuu za kupaka na kukausha Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
  14. S

    Mashine za rangi za kucha

    Habarini wakuu,ni matumain yangu mpo poa,naomba kujua kama kuna mashine za kupaka rangi kucha na bei zake zipoje,karibuni kwa msaada
  15. S

    Tupigie wakubwa kelele kuhusu Kilimo mpaka wasikie

    Mfano halisi ni huu,iringa(pawaga na idodi) sehem unapolimwa mpunga,gharama ya kukodi shamba ni kuanzia laki na nusu,kulima elfu70,kuvuruga na kupanda mpunga ni laki na nusu,kuvuna elfu50,na wastani wa mavuno ni gunia15,ambapo kwasasa gunia ni elfu65,ukiongeza na gharama ya mbolea hapo mtaji...
Back
Top Bottom