Recent content by snail

  1. S

    Proposal for a modern Dairy Factory Around USD 282,100 OR TZS 648,000,000

    Niliandaa hii plan kwaajili ya mteja wangu mmoja hapa Tanzania lakini hatimae alikosa kiasi cha pesa cha kuwekeza katika mradi. Mradi unahusisha kusindika lita elfu kumi (10,000L) za maziwa kwaajili ya kuzalisha bidhaa za yogoti, mtindi na maziwa fresh na kuweza kfungashwa/packaging katika...
  2. S

    INCUBATOR YA KUTOTOLESHEA MAYAI @ 2.3 Milion

    2.3 MWISHO KABISA
  3. S

    INCUBATOR YA KUTOTOLESHEA MAYAI @ 2.3 Milion

    Kama inavyoonekana kwenye picha, ni nzima imetumika kidogo sana. Bei Tsh, 2,400,000 Uwezo wa kutotolesha maya 1,500 kwa mara moja Ufanisi ni 95% tegemea na ubora wa mayai yako Nishati inayotumia ni umeme wa Tanesco Sababu ya kuuza: Niko nazo mbili na kwa uwezo wangu wa kuzalisha na kutafuta...
  4. S

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    maisha magumu siku hizi bar panaongeza mawazo
  5. S

    Ni halali kwa gazeti la Tanzania Daima kufungiwa!

    Jibu na wewe siunayo key board.
  6. S

    Ni halali kwa gazeti la Tanzania Daima kufungiwa!

    Alafu nyinyi mnaotaka lifungiwe sindio mnaotaka redio na televisheni wawe wanasoma vichwa vya habari pekee katika mapitio ya magazeti au co??
  7. S

    UTAPELI: Kampuni ya D9 (DNINE) ni kina nani? Nani kawapa kibali cha kazi Tanzania?

    Hii lazima itakuwa janga! alafu serikali nayo ipo kama wezi, muda huu wako kimya baadae watasema biashara hii ni haramu tunaifunga wanachama watarudishiwa pesa zao ambazo ni asilimia 40 tu ndio zimesali. hiyo ndo imetoka kama deci walivyotuacha na risiti zetu hadi leo na pengine pesa...
  8. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    Nikweli mkuu, and that applies to all businesses and it should be considered more sensitive as the level of investment becomes high. lakini pia tusisahau pia wapo ambao hawajui wapi pakuwekeza, hawa ni muhimu kwao kuona mambo kama haya ili waweze kuziona fursa mpaya na kuanza kuzifanyia...
  9. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    Electrical Batch Pasteurizer 500 liters bei hadi bandarini Dar EUR 7,500
  10. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    kama uko sereous tuma email mkuu itakusaidia kupata kumbukumbu ili siku yoyote uweze kurejea mawasiliano haya.
  11. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    Hapo utaweza kupata setup yote kwa 26,000 EUR hapo bila mashine ya kupack hizo yoghurt, Kwa kima cha chini kabisa mashine ya kupack yoghurt kwenye cups kama sa Tanga fresh au asas ni 18,000EUR ikiwa na uwezo wa 1800-2000 cups/hour
  12. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    capacity ni muhimu kusema mkuu, ila cups filling and sealing machine 150 ml - 250 ml and 500 ml with 2000 cups per hour FOB price 22,000 EUR, batch pasteurizer 500Liters/hour FOB price 7,000 EUR used but complete overhauled continuous line pasteurizer with 1000 liter per hour on stock FOB...
  13. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    angalia viambatisho mkuu, kuna mashine na vifaa vingi sana vimeambatishwa kwenye file 3
  14. S

    Vifaa vya kilimo na usindikaji wa vyakula (Maziwa) toka Uholanzi/Holland

    karibu kama uko sereous tuzungumze maana bidhaa unayouliza haitengenezwi kwa mashine moja pekee! ni mnyororo wa vifaa kadhaa ndio hutengeneza setup ya kuzalisha mtindi. Kama utakuwa serous, tuma email ukitaja capacity unayohitaji, kiasi cha maziwa unachokusanya nk. karibu mawasiliano yako hapo...
Back
Top Bottom