Niliandaa hii plan kwaajili ya mteja wangu mmoja hapa Tanzania lakini hatimae alikosa kiasi cha pesa cha kuwekeza katika mradi.
Mradi unahusisha kusindika lita elfu kumi (10,000L) za maziwa kwaajili ya kuzalisha bidhaa za yogoti, mtindi na maziwa fresh na kuweza kfungashwa/packaging katika...
Kama inavyoonekana kwenye picha, ni nzima imetumika kidogo sana.
Bei Tsh, 2,400,000
Uwezo wa kutotolesha maya 1,500 kwa mara moja
Ufanisi ni 95% tegemea na ubora wa mayai yako
Nishati inayotumia ni umeme wa Tanesco
Sababu ya kuuza: Niko nazo mbili na kwa uwezo wangu wa kuzalisha na kutafuta...
Hii lazima itakuwa janga! alafu serikali nayo ipo kama wezi, muda huu wako kimya baadae watasema biashara hii ni haramu tunaifunga wanachama watarudishiwa pesa zao ambazo ni asilimia 40 tu ndio zimesali. hiyo ndo imetoka kama deci walivyotuacha na risiti zetu hadi leo na pengine pesa...
Nikweli mkuu, and that applies to all businesses and it should be considered more sensitive as the level of investment becomes high.
lakini pia tusisahau pia wapo ambao hawajui wapi pakuwekeza, hawa ni muhimu kwao kuona mambo kama haya ili waweze kuziona fursa mpaya na kuanza kuzifanyia...
Hapo utaweza kupata setup yote kwa 26,000 EUR hapo bila mashine ya kupack hizo yoghurt, Kwa kima cha chini kabisa mashine ya kupack yoghurt kwenye cups kama sa Tanga fresh au asas ni 18,000EUR ikiwa na uwezo wa 1800-2000 cups/hour
capacity ni muhimu kusema mkuu, ila cups filling and sealing machine 150 ml - 250 ml and 500 ml with 2000 cups per hour FOB price 22,000 EUR, batch pasteurizer 500Liters/hour FOB price 7,000 EUR used but complete overhauled continuous line pasteurizer with 1000 liter per hour on stock FOB...
karibu kama uko sereous tuzungumze maana bidhaa unayouliza haitengenezwi kwa mashine moja pekee! ni mnyororo wa vifaa kadhaa ndio hutengeneza setup ya kuzalisha mtindi. Kama utakuwa serous, tuma email ukitaja capacity unayohitaji, kiasi cha maziwa unachokusanya nk.
karibu mawasiliano yako hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.