Recent content by Smwantuge

  1. S

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Hana uwezo wa kumpata waziri mkuu,atatafutiwa tu kama Samia Suluhu.
  2. S

    Ni nini kinachosumbua Maalim Seif?

    Haki ya mtu haidhurumiwi hata siku moja,itacheleweshwa tu kama ilivyokuwa kwa Maalim Seif na sasa muda umefika wa kupata haki hiyo.Waroho wa madaraka ni wale wanaong'ang'ania kuendelea kukaa madarakani kwa njia yoyote ile hata kama upeo wa kutawala umefika mwisho.Freedom is coming soon!
  3. S

    Wasanii kujikomba kwa CCM, mmepata hata udiwani?

    Wakisoma na kupata ufahamu hawatatumiwa kama toilet paper.
  4. S

    Ahadi ya Elimu bure kuanzia Primary hadi University, Je HESLB ifutwe?

    Ndo maana tunasisitiza elimu maana watu mlio wengi mmesoma lakini hamjakombolewa.Kwani wanaoingia mwaka wa pili na kuendelea waanze kujiandikisha upya kwa vile elimu bure itaanza na wanafunzi wa mwaka wa kwanza? Ukiwa kwenye mfumo wa kulipa ada huwezi kusitishiwa muda wowote?
  5. S

    Wanawake Geita watoa machozi kwa Mama Samia

    Wakati anachakachua maoni ya wananchi kwenye rasimu ya katiba mpya mlikenua meno kulalamika, hivi sasa mmesahau. Elimu ni kitu muhimu sana.
  6. S

    NEC wanajitekenya wenyewe na Polisi

    Nyumba yenyewe ya kupanga eneo utalitoa wapi? Hatoki mtu, tunafuata sheria ya Uchagui ukipiga kura unaruhusiwa kukaa mita 100.NEC haohao walisema matokeo yatabandikwa baada ya kura kuhesabiwa ili kuondoa wasiwasi miongoni mwa wapiga kura nani atayaona ikiwa watu wataamuliwa kurudi nyumbani...
  7. S

    Nani atashawishiwa na CHADEMA maslahi (mafisadi) ili aandamane?

    Thread zingine tunawaachia wenyewe mchangie maana hazina kichwa wala miguu.
  8. S

    Sumaye aipasua Ukawa. Awananga Mbowe, Lissu, Mbatia, Safari

    Wanaonunua gazeti kama hili wamelogwa.
  9. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Kama hujui kiingereza nyamaza usichangie chochote.English structure yenyewe shida,badala ya "inadepend on the context" unaandika "inadepend with the context".Kama unakosoa basi jihakiki.
  10. S

    Wajinga ndio waliwao, wakati wabunge wa chadema wakichekelea kwenye magego, wa CUF na NCCR waduwaa

    Tukisema CCM mnaendekeza ukabila, udini na ukanda mtakataa, wakati uthibitisho tunao hapa? Yawezekana ikawa si CCM moja kwa moja lakini baadhi ya watu wenye ushabiki na CCM kama huyu na ku post mada zinazo onyesha ni kampeni zinazoashiria ukabila, udini na ukanda wanaweza kuiharibia CCM uchaguzi...
  11. S

    Wasanii kumuunga mkono Magufuli

    Mwombe SHETANI awasaidie apite kwenye urais,lakini katika nchi hii wanaomtegemea MUNGU ni mafuriko kwa hiyo SHETANI atashindwa tu kwa jina la YESU na ALLAH.LOWASSA ni chaguo la MUNGU.
  12. S

    Lowassa ndiye Musa wa sasa kwa Tanzania

    Lengo ni waizirael kufika kanaani na wala si kurudi misri.Haturudi misri kamwe maana tumeamua.Kwa akili yako unadhani mwandishi kakosea,tangu lini mwenye dhambi ukaelewa maandiko ya kiroho?
  13. S

    Lowassa azidiwa na kuanguka nyumbani kwake Masaki

    Utatangulia wewe na wenzako wote wenye roho mbaya na chuki na mtamwacha mzee wa watu anapeta.
  14. S

    CHADEMA Tanga wamuunga mkono Slaa

    Mweshimiwa huyo ni mpuuzi tu mmoja kaamua kumchafua Lowassa na watu wa Tanga wapenda mabadiliko, amewafanya watu wa Tanga ni maskini wa fikra kama yeye anayetumiwa kama mpira wa kiume.
Back
Top Bottom